FarLeftist
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 363
- 20
Wadau naomba michango yenu juu ya hili swala,
Hivi inawezekana vipi kwenye mkoa mmoja ukakuta CHADEMA imeshinda kata 12 kati ya 14 au imenyakua majimbo yote, wakati huo huo kwenye matokeo ya urais CCM ikaongoza wakifatiwa na CUF, Je kuna punguani yupi ambaye anaweza akapiga kura kuchagua Diwani na Mbunge wa CHADEMA alafu urais akachagua CCM?
Nashindwa kuelewa hata kama ni kuchakachua si inatakiwa akili kidogo itumike?
Hivi inawezekana vipi kwenye mkoa mmoja ukakuta CHADEMA imeshinda kata 12 kati ya 14 au imenyakua majimbo yote, wakati huo huo kwenye matokeo ya urais CCM ikaongoza wakifatiwa na CUF, Je kuna punguani yupi ambaye anaweza akapiga kura kuchagua Diwani na Mbunge wa CHADEMA alafu urais akachagua CCM?
Nashindwa kuelewa hata kama ni kuchakachua si inatakiwa akili kidogo itumike?