Uchambuzi vifurushi vya halotel

Uchambuzi vifurushi vya halotel

Mbona hio dhahabu ipooo chief?

yap kwako kama imekuwa gold plated ila yangu ina sura ngumuu hakuna hata kitone cha protection
Tuz1gDz.jpg
 
Ngoja tukomae na wazee wetu tigo na voda na Airtel hawa wengine awaaminiki sasatel wameishia Wapi ?
 
Sijaona mabadiliko yeyote hapo.

Nikiwa na vodacom napata MB 700 kwa 1000 tena bila kikomo japo speed inapungua.

Na hiko cha maongezi napata DK 26, SMS 500 na MB 60 kwa 1999.

Kwahiyo siwezi kuhama vodacom kwa style hii.

wanachoniuzi voda msg za goodnight kuzipokea asubuhi
 
nimeviangalia havina tofauti yoyote na tigo ndo vile vile tu zikitofautiana ni mb chache na wameiga kale ka katabia ka tigo kusema kifurushi ni unlimited kumbe wanamaanisha unlimited speed. kwa faida ya wengine

internet siku
-sh 250 utapata mb 50
-sh 500 utapata mb 200

internet wiki
-sh 2000 utapata mb 400
-sh 3000 utapata mb 600

internet mwezi
-sh 2000 utapata mb100
-sh 5000 utapata 1gb
-sh 10,000 utapata 3gb

vifurushi hivyo hapo juu hawajasema kitu, kuna vifurushi ambavyo wanaviita unlimited

-sh 1000 utapata mb800 kwa siku
-sh 5000 utapata gb 1 kwa siku
-sh 15,000 utapata gb 2 kwa mwezi
-sh 25,000 utapata gb 5

mpaka hapo juu tayari wameshafeli, mtandao mpya ila vifurushi bora ya hao wa zamani.

vifurushi vya maongezi
hapa pia hamna jipya, labda hizo mb kuongezeka toka mb1 hadi 3

1. vya siku
-sh 400 unapata dk 6 sms 50 na mb3
-sh 600 unapata dk 12 sms 500 na mb5
-sh 800 unapata dk19 sms 1000 na mb8

2. vya wiki
-sh 2000 unapata dk30 sms 300 na mb60
-sh 4000 unapata dk 100 sms 1000 na mb60
-sh 10000 unapata dk 200 sms 1000 na mb60

*aliepanga hivyo vifurushi pia hakutumia akili hapa ukijiunga vifurushi viwili vya wiki vya 4000 kwa jumla ya 8000 unapata dk200 sms 2000 na mb120 ambazo ni nyingi kuliko kifurushi cha 10,000 kwa wiki. hivyo kifurushi cha 10,000 ni useless

3. vya mwezi
-sh 10,000 unapata dakika 160 sms 1500 na mb80
-sh 15,000 unapata dakika 300 sms 2500 na mb 300
-sh 20,000 unapata dakika 400 sms 3500 na mb 300
-sh 30,000 unapata dakika 550 sms 5500 na mb 500
-sh 50,000 unapata dakika 1000 sms 3000 na gb 1

*hapa pia ukinunua vifurushi viwili vya 15,000 unapata dakika 600, sms 5000 na mb 600 ambavyo ni vingi kuliko kifurushi cha 30,000 hivyo inafanya hicho kifurushi kisiwe na maana.

*hivyo hapo juu ni vifurushi vya mitandao yote mi si mpiga simu sana hivyo siwezi coment.

nimependa tu hawa jamaa wamekuja kutukumbusha basi letu jekundu liliopinduka zamani


je unafkiri Halotel wameleta mabadiliko?

Hamna kitu ni ghali sana vifurushi vyao, nilipoiweka line yao vimb vya vilipokata na line nikaweka pembeni, hawana hata wellcome form one?
 
Bora nibaki airtel tshs 3000 napata Gb1 kwa wiki.

Sijashawishika hama mtandao wangu..
 
Kuna cha 1500 unapata GB 1 na dk za airtel na mitandao mingine...ila mpaka upate vocha za UNI....
Hata Wao Sasa Hivi Wana Vifurushi vya University..

7GB kwa Sh 9999 kwa Mwezi
1GB kwa Sh 1500 kwa Wiki
500MB kwa Sh 500 kwa Siku
300MB kwa Sh 350 kwa Siku
 
Hata Wao Sasa Hivi Wana Vifurushi vya University..

7GB kwa Sh 9999 kwa Mwezi
1GB kwa Sh 1500 kwa Wiki
500MB kwa Sh 500 kwa Siku
300MB kwa Sh 350 kwa Siku


uni ya airtel ipo tofauti na wengine wao ni vocha tu wakati mitandao mengine hadi usajili wa line au uwepo ndani ya eneo la chuo.

unaweza pitia cbe pale ukanunua hata vocha 100 then ukasafiri ukatumia taratibu mwaka mzima.

na pia bundle zao nzuri kwa sh 600 unapata 1.2gb kwa siku 2 na dakika na sms za kutosha.
 
hawa airtel wangeimarisha huduma zao za internet mikoani wangebaki kuwa mtandao bora kabisa kwa upande wangu tatizo lao ni hiyo internet mpaka maeneo ya mjini ndo una enjoy
 
nimeviangalia havina tofauti yoyote na tigo ndo vile vile tu zikitofautiana ni mb chache na wameiga kale ka katabia ka tigo kusema kifurushi ni unlimited kumbe wanamaanisha unlimited speed. kwa faida ya wengine

internet siku
-sh 250 utapata mb 50
-sh 500 utapata mb 200

internet wiki
-sh 2000 utapata mb 400
-sh 3000 utapata mb 600

internet mwezi
-sh 2000 utapata mb100
-sh 5000 utapata 1gb
-sh 10,000 utapata 3gb

vifurushi hivyo hapo juu hawajasema kitu, kuna vifurushi ambavyo wanaviita unlimited

-sh 1000 utapata mb800 kwa siku
-sh 5000 utapata gb 1 kwa siku
-sh 15,000 utapata gb 2 kwa mwezi
-sh 25,000 utapata gb 5

mpaka hapo juu tayari wameshafeli, mtandao mpya ila vifurushi bora ya hao wa zamani.

vifurushi vya maongezi
hapa pia hamna jipya, labda hizo mb kuongezeka toka mb1 hadi 3

1. vya siku
-sh 400 unapata dk 6 sms 50 na mb3
-sh 600 unapata dk 12 sms 500 na mb5
-sh 800 unapata dk19 sms 1000 na mb8

2. vya wiki
-sh 2000 unapata dk30 sms 300 na mb60
-sh 4000 unapata dk 100 sms 1000 na mb60
-sh 10000 unapata dk 200 sms 1000 na mb60

*aliepanga hivyo vifurushi pia hakutumia akili hapa ukijiunga vifurushi viwili vya wiki vya 4000 kwa jumla ya 8000 unapata dk200 sms 2000 na mb120 ambazo ni nyingi kuliko kifurushi cha 10,000 kwa wiki. hivyo kifurushi cha 10,000 ni useless

3. vya mwezi
-sh 10,000 unapata dakika 160 sms 1500 na mb80
-sh 15,000 unapata dakika 300 sms 2500 na mb 300
-sh 20,000 unapata dakika 400 sms 3500 na mb 300
-sh 30,000 unapata dakika 550 sms 5500 na mb 500
-sh 50,000 unapata dakika 1000 sms 3000 na gb 1

*hapa pia ukinunua vifurushi viwili vya 15,000 unapata dakika 600, sms 5000 na mb 600 ambavyo ni vingi kuliko kifurushi cha 30,000 hivyo inafanya hicho kifurushi kisiwe na maana.

*hivyo hapo juu ni vifurushi vya mitandao yote mi si mpiga simu sana hivyo siwezi coment.

nimependa tu hawa jamaa wamekuja kutukumbusha basi letu jekundu liliopinduka zamani


je unafkiri Halotel wameleta mabadiliko?
mtandao gani unaanza hata hauna miezi miwili , wananza na vibandle vya mb 3, hamna hata kukaribishana
 
Halotel nawaonea huruma. Wamekosa kitu kinaitwa market entry strategy. Wamekuja as if walikuwepo tangu zamani. Kwa kifupi wamevamia msitu na kiwembe mkononi.
Nikiwa mtaalamu wa masoko nilitegemea wafanye yafuatayo:
1. Wangeanza na marketing/consumer survey ili wajue ni nini watumiaji wa simu wanahitaji lakini hawakipati kwa hawa 3 giants.
2. Wangehakikisha wanakuja na bidhaa/vifurushi ambavyo ni differentiated yaani vitofautiane na vile ambavyo tayari viko sokoni.
3. Au kama tatizo ni bei, basi wangekuja na bidhaa za bei nafuu kuliko zilizoko sokoni. Hili lingewezekana kwa wao kujitahidi kupunguza gharama za uzalishaji ikiwemo matumizi ta technolojia ta kisasa zaidi.
4. Mbinu nyingine ambayo pia wangeweza kuitumia ni kulenga wateja au soko ambalo bado halijafikiwa na hawa 3 giants.

Ningeweza kuandika mengi lakini naachia hapa kwa leo.
 
Last edited:
Nimekubali moderm zao tu downloading speed 21mbps, na uploading speed 19.3mbps kwa sasa nadhan ndo moderm zenye kasi zaid ya mitandao mingine
 
Halotel nawaonea huruma. Wamekosa kitu kinaitwa market entry strategy. Wamekuja as if walikuwepo tangu zamani. Kwa kifupi wamevamia msitu na kiwembe mkononi.
Nikiwa mtaalamu wa masoko nilitegemea wafanye yafuatayo:
1. Wangeanza na marketing/consumer survey ili wajue ni nini watumiaji wa simu wanahitaji lakini hawakipati kwa hawa 3 giants.
2. Wangehakikisha wanakuja na bidhaa/vifurushi ambavyo ni differentiated yaani vitofautiane na vile ambavyo tayari viko sokoni.
3. Au kama tatizo ni bei, basi wangekuja na bidhaa za bei nafuu kuliko zilizoko sokoni. Hili lingewezekana kwa wao kujitahidi kupunguza gharama za uzalishaji ikiwemo matumizi ta technolojia ta kisasa zaidi.
4. Mbinu nyingine ambayo pia wangeweza kuitumia ni kulenga wateja au soko ambalo bado halijafikiwa na hawa 3 giants.

Ningeweza kuandika mengi lakini naachia hapa kwa leo.
Unadhani wao hawajui hayo unayosema? Mi nadhani jamaa watakua wamebanwa na hawa wenzao. Si unajua oligopoly tena na hao TCRA wamekamatwa vichwa na Vodacom sijui.
 
Back
Top Bottom