Uchambuzi vifurushi vya halotel

Airtel nakupenda kwa moyo woteeeee....

1500 kupiga airtel to airtel 145 dakika kwa wiki na airtel to mitandao mingine 5 minutes. Sms 1000 na 70 mb kwa wiki....

Mitandao mingine bado saaaana....
 
Airtel nakupenda kwa moyo woteeeee....

1500 kupiga airtel to airtel 145 dakika kwa wiki na airtel to mitandao mingine 5 minutes. Sms 1000 na 70 mb kwa wiki....

Mitandao mingine bado saaaana....

mnh hapo
 
Kwa hilo sema ukweli hamna kipya hapa, wale wale tu. Zantel itabaki kwa mimi kuwa na the best value for money kwenye mitandao yote.

Kabisa mkuu tuombe wasibadilike!
 

Siamini kabisa nilichokiona lets wait for TTCL 4G LTE!!!.TTCL mpo fanyeni faster maana halotel wamechemka mapema!!!
 
Niko Bush mie inakamata Bar Moja tu
Na imani itakua inakimbiza sababu hapa nilipo hata Line hazijaanza kuuzwa ntakua User peke yangu

Msaada hapo Kwenye Settings napata Connection terminated

kwa simu umetest inakubali?

jaribu kueka apn dynamic (isiwe static) uone kama itakubali

setting ndio hizo hizo
 
Airtel nakupenda kwa moyo woteeeee....

1500 kupiga airtel to airtel 145 dakika kwa wiki na airtel to mitandao mingine 5 minutes. Sms 1000 na 70 mb kwa wiki....

Mitandao mingine bado saaaana....

Hapo kwenye bandle ni 1gb...na sio mb 70...vocha za UNI.
 
Kama majority population ya watanzania ipo mijini ambapo hii mitandao mingine imejikita zaidi huko watashindwa ila kwa upatikanaji wao wa 89-95% na internet yenye speed itakuwa nchi nzima wata gain tu na watakuja shusha bei kwani sasa ni return ya investment....maana hawa wengine walianza juu zaidi ya leo ila wao wanaanza kwa karibia kufanana na wenyeji wakati pia wamewekeza kwa kuja kuchukua soko asilimia tisini...
 
Khaaaa sitoki airtel labda wapandishe bei. Full makamuziiiiii.....
 

Uningiaje kiongozi?
 
Duuh hawa jamaa wameanza vibaya kweli!!! Itabidi niipe likizo isiyo na mda maalum voda na tigo...na nianzishe usiano wa kudumu na AIRTEL!! Bora nikomae na hawa watatu tu...ataezingua napiga chini naeka mwingine!!!
 
hebu nisaidieni kati ya zantel na airtel nani mwenye nafuu kwenye data tu, achana na madakika hayo naweza kupambana nayo

Zantel noma, kwa siku sh 1000 unapata 1.5gb, airtel 1gb, ila zantel naonaga inafanya kazi makao makuu ya mikoa tu,sijui siku hizi
 
Niko Bush mie inakamata Bar Moja tu
Na imani itakua inakimbiza sababu hapa nilipo hata Line hazijaanza kuuzwa ntakua User peke yangu

Msaada hapo Kwenye Settings napata Connection terminated
Fuata hatua hizi ili uweze kuitumia laini mpya ya Halotel

JINSI YA KUANZA KUTUMIA HALOTEL

1. Nunua laini na fanya usajiri - Uwe na kitambulisho ( Kwa wale ambao bado hawana laini)

2. Weka katika simu au modem (waweza tumia Dashboard ya modem kwa hatua no. 03 inayofuata)

3. Piga namba yeyote mfano 100, au 0717 54 ** ** -, Utasikia maelezo na Utapokea sms za Taarifa ya kuwa laini iko tayari kwa matumizi.

4. Settings za internet zitakuja automatic, na ikihitahi password weka 1111

5. Baada ya kuwa umepokea sms kadhaa utaona upande wa internet umefunguka na utaweza ku_connect bila shida.

UKIWEKA SETTINGS DIRECT BILA KUFUATA HIZO STEPS HAPO JUU, UNAKUWA_TERMINATED NA HUWEZI PATA CONNECTION
 
Mchawi wa mawasiliano Tz ni Tcra, Tcra inaendeshwa na voda kwa remote control, so halotel watapotezana kama walivopoteana wale jamaa zetu wengine.

Na huyu mzee akiupata urais voda utakuwa mtandao wa taifa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…