Mkuu Kiranga ni tatizo la uelewa tu. Tumueleweshe taratibu huenda akaelewa na kesho akawa mjumbe wa positive change. Tumuelimishe mkuu Mkandara maana huwezi jua, pengine ana dhamira njema tu lakini hana uelewa wa kutosha kuhusu masuala ya uchumi wa kisasaWewe kwanza tengeneza internet yako, halafu tengeneza maandishi yako, uache internet ya mabeberu na herufi za mabeberu.
Halafu tuite huko kwenye internet yako ambayo haijatumia teknolojia ya mabeberu tujadili hoja zako za kijima.
Hapo angalau nitakuona uko serious.
Lakini maadam bado unatumia internet ya mabeberu na herufi zao, mimi nakuona mnafiki tu ukiwakataa mabeberu kwa misingi uliyoiandika hapa.
Ama mnafiki, ama mjinga.
Inawezekana kabisa mnafiki mjinga.
Mkuu tumueleweshe Mkandara ili akielewa kesho atawaelewesha wengine.Uchambuzi wako ni wa hovyo kwa asilimia 95
Amekuambia haya yalishafeli kwenye tawala zilizopita. Ndo maana tukaja na approach mpya lakini sasa tunarudi tulipotoka.Umejitahidi kuchambua japo Uchambuzi wako ni wa Masikini Jeuri, wa kua na Mawazo Makubwa bila ya Uwezo wa Kutenda.
Mama Samiah anataka tufanye tunachoweza kufanya sasa wakati tunaendelea kujenga Uwezo wa kufanya hayo unayoyaelezea.
Tunahitaji Uwekezaji wa Ndani na pia tunahitaji Uwekezaji kutoka nje ili kuendelea kujenga Uwezo wa kujenga Uchumi wa Kujitegemea.