Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,425
- 725
Nakubaliana nawe mkuu.Mkuu hili neno 'win- win situation' ni mtego tu inategemea wewe utalielewaje.
Wakati wa JK tuliambiwa ni win win situation. Aki define Ukitaka kula lazima nawe uliwe.. Enzi ya JPM kuna wengine wanasema TUTA-wafukuza Wawekezaji! Hii kutangulizi TUTA wakati hao Wawekezaji bado wapo imna wanazidi kuingia ilinipa wasiwasi kutoka ndani zaidi kuliko nje. Leo tunasikia Tutalegeza masharti ya Uwekezaji...yale yaleeee
"Win-win situation " ikifanyika kwa kificho kama ilivyozoeleka wakati fulani hapo nyuma kwa wahusika kusainisha mikata hotelini-London ikihusisha wachache tu lazima tupigwe tena.
Mchakato wa mikataba iridhiwe na bunge baada ya kujadiliwa kwa uwazi kwa maslahi mapana ya taifa na si kwa hati ya dharura bila shaka keki ya taifa tutaifaidi sote...