Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,225
Huo mjadala ulishazikwa na alie uanzisha..paote hadi ukungu tuu.
Baada ya mazishi ya Mkuu wa Nchi, nimetafakari kwa kina kuona kama kuna mtu yyte, au shirika lolote la ndege litakuwa na ratiba ya kwenda chato.
Hivi waliojenga uwanja huo, walitathmini kweli?.
lile jengo la abiria wafanye ofisi za nida linaweza kuwa usefull kukawa busy na activity hela ikaenda kihalaliBaada ya mazishi ya Mkuu wa Nchi, nimetafakari kwa kina kuona kama kuna mtu yyte, au shirika lolote la ndege litakuwa na ratiba ya kwenda chato.
Hivi waliojenga uwanja huo, walitathmini kweli?.
Badolite in TanZaniaBaada ya mazishi ya Mkuu wa Nchi, nimetafakari kwa kina kuona kama kuna mtu yyte, au shirika lolote la ndege litakuwa na ratiba ya kwenda chato.
Hivi waliojenga uwanja huo, walitathmini kweli?.
Mkuu ila umesaidia wakubwa kwenda kwenye mazishi😂😂😂Baada ya mazishi ya Mkuu wa Nchi, nimetafakari kwa kina kuona kama kuna mtu yyte, au shirika lolote la ndege litakuwa na ratiba ya kwenda chato.
Hivi waliojenga uwanja huo, walitathmini kweli?.
Mie naona wanaChato watapata hasara ya kutaka kuwa Mkoa😁😁😁Hata wasipo fanya hivyo,atakae pata hasara ni nani serikali au wanachato?
Hakuna shida tutavuna mbao na kukata majani ya ng'ombe, acha msitu uoteBaada ya mazishi ya Mkuu wa Nchi, nimetafakari kwa kina kuona kama kuna mtu yyte, au shirika lolote la ndege litakuwa na ratiba ya kwenda chato.
Hivi waliojenga uwanja huo, walitathmini kweli?.
Hilo liko mikononi mwa wana chato kiukweli wasimuangushe muasisi wa wazo la kujenga stendi ya ndege paleBaada ya mazishi ya Mkuu wa Nchi, nimetafakari kwa kina kuona kama kuna mtu yyte, au shirika lolote la ndege litakuwa na ratiba ya kwenda chato.
Hivi waliojenga uwanja huo, walitathmini kweli?.
Hili halina ubishi mkuuBaada ya mazishi ya Mkuu wa Nchi, nimetafakari kwa kina kuona kama kuna mtu yyte, au shirika lolote la ndege litakuwa na ratiba ya kwenda chato.
Hivi waliojenga uwanja huo, walitathmini kweli?.
Kwa nini mtu akaangalie simba na twiga waliotolewa Serengeti kwenda kufugwa Chato? Si bora akawaone wakiwa Serengeti kwenyewe!Kwani hakuna utalii huko.
Hasara wamepata wabinafsi walioujenga huo uwanja wa Chato pamoja na aliyekuwa kinara waoHata wasipo fanya hivyo,atakae pata hasara ni nani serikali au wanachato?
Labda utalii wa punda.Kwani hakuna utalii huko.
Burigi transformationKwani hakuna utalii huko.
Msisahau nakufuka koboko au black mamba kwenye huo msitu tarajiwaHakuna shida tutavuna mbao na kukata majani ya ng'ombe, acha msitu uote