NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Nimekuwa mnywaji wa heneken tangu miaka ya 90, hakuna bia iliyo nishawishi kuacha heneken kwani ilikuwa kinywaji bomba sana.
kwa cku nilikuwa nanywa si chini ya sita.
Lakini baada ya kuchakachuliwa kwa hii kitu kila ukinywa unaona utofauti wa hali ya juu na inakufanya uumwe kichwa na kukosa usingizi .
Baada ya kuona hivyo nikastop kutumia hii kitu na ni kawa safi .
Mh nashukuru wachakachuaji wamenisaidia kuacha pombe!
Je hii kampuni ya heneken inataarifa kuwa bia yao imechakachuliwa vilivyo hapa bongo?
kwa cku nilikuwa nanywa si chini ya sita.
Lakini baada ya kuchakachuliwa kwa hii kitu kila ukinywa unaona utofauti wa hali ya juu na inakufanya uumwe kichwa na kukosa usingizi .
Baada ya kuona hivyo nikastop kutumia hii kitu na ni kawa safi .
Mh nashukuru wachakachuaji wamenisaidia kuacha pombe!
Je hii kampuni ya heneken inataarifa kuwa bia yao imechakachuliwa vilivyo hapa bongo?