Uchaguzi wa Kiteto: Taarifa mbalimbali

Status
Not open for further replies.
Tatizo la Chadema ni pupa, jazba na papara. I hope and wish wataangukia pua....


Masatu, hebu tusaidie kidogo ndugu yangu, "pupa, jazba na papara" ipi ili ikiwezekana tuweze kurekebisha. I know unaweza ukawa unawachukia CHADEMA, lakini why do you wish them bad kiasi cha kusema waangukie pua? Nijuavyo hata adui yako humtakii mabaya kiasi hicho, so why this hatred to this party which is hitherto the only promising alternative to CCM? Hebu nielimishe kidogo hapa ndugu yangu!
 
CCM waanze kampeni zao kwanza. Kwa taarifa ya Dr. Slaa kutoka Karatu, vyama vya upinzani vikiongozwa na Dk. Slaa watakuwa Kiteto tarehe 9 na 10 Februari. Hapo kitaeleweka!

Wambugani[/QUOTE

SITAKI KUWAKATISHA TAMAA BALI NDIO UKWELI HAKUNA NAMNA CHADEMA ITASHINDA UCHAGUZI KULE,INGAWA WANA MGOMBEA AMBAE NAMUHESHIMU SANA KAMA BABA YANGU HASA NIKIKUMBUKA ENZI ZILE NIKICHEZA NA NASERIAN KIMESERA ,MTOTO WAKE MTAA WA MKADINI OBEY.HUYU MZEE WANGU HAUZIKI KULE NA AMEGOMBEA KILA UCHAGUZI BILA KUKOSA TANGU VYAMA VINGI VIANZE,LABDA APEWE KURA ZA HURUMA

Mungu ndiye anjua lini atamlipa mja wake.Nina imani kubwa Victor atashinda.
 
Tatizo maanalyst wengi kwenye hii thread hamjui historia ya kiteto, siasa za kiteto na wala hamko huko. All in all ni lazima watu wakubalu kwamba dynamics za siasa Tz zimechange mijini na vijijini. Hivyo kusema kwamba kimesera hakubaliki kwa kuwa amegombea mara tatu na kushindwa sioni kwamba ni hoja kwa sasa. (Pamoja na kwamba sina data lakini naamini wabunge wa CCM kwenye zile nominations zao kuna watu wamejaribu in 20 yrs bila kupata) - Na hata Mama Minde pale Moshi si kwamba hakubaliki bali amekuwa akishindana na mgombea makini na powerful kuliko yeye.
Hivyo basi mimi naamini upinzani utashinda kwa sababu zifuatazo:
1. Upinzani umesimama kama united front

2. Mgombea Kimesera anajulikana na kuheshimika huko Kiteto.

3. Matumizi ya rushwa kutoka CCM itakuwa ngumu kidogo maana chama hicho kinataka kujisafisha kutoka ufisadi na kashfa za rushwa kwenye uchaguzi wa CCM.

4. Wananchi wameanza kuelewa kwamba upinzani si vita wala ugomvi na kwamba CCM ni wapiga hadithi tuuu! in short wananchi are ready for change.
 
Masatu, hebu tusaidie kidogo ndugu yangu, "pupa, jazba na papara" ipi ili ikiwezekana tuweze kurekebisha. I know unaweza ukawa unawachukia CHADEMA, lakini why do you wish them bad kiasi cha kusema waangukie pua? Nijuavyo hata adui yako humtakii mabaya kiasi hicho, so why this hatred to this party which is hitherto the only promising alternative to CCM? Hebu nielimishe kidogo hapa ndugu yangu!


Kitila,
Pupa, jazba na papara ni kwa Chadema kutokuwa na subira ili wawasiliane na viongozi wa muungano wa vyama kabla hawajatangaza mgombea.

Kwa kukurupuka huko one can see Chadema wameshachukulia for granted kuwa mgombea wao ndio aungwe mkono hii ni hatari kwa uhai na siha ya muungano huu na hii ndio mianya itakopelekea ufa mkubwa na muungano kufa kabla hata ya uchaguzi mkuu 2010.

Haraka zote hizi za nini? hoja ya kuwa mgombea wao alikuwa wa pili uchaguzi uliopita haina mashiko, vp CUF wakisema Lipumba alikuwa wa pili sio tu mwaka 2005 bali pia 2000 hivyo asimame 2010 mtakubali?
 
Masatu, tatizo lako umeassume kuwa Chadema hawakufanya unayoyasema wamefanya kwamba wametangaza kuhusu Kimesera unilatery.

Hiyo assumption isiyo na msingi. Hoja ya watu wengine ambayo ni ya msingi ni kuwa hata kama wapinzani walikuwa wamekubaliana kuhusu Kimesera basi wangetangaza hadharani katika mjumuiko wa pamoja kuonesha mshikamano wao.

Hoja hiyo hata hivyo inashindwa kutambua ukweli mmoja. Vyama vyote vilivyo katika ushirikiano (siyo muungano kama wengi wanavyodhania) ni vyama huru na havifungwi na sheria au taratibu za chama kimoja.

Kimsingi, TLP, NCCR-Mageuzi na CUF wamekubaliana na CHADEMA kusimamisha mgombea wake kwa sababu siyo tu chama kinakubalika bali pia mgombea wao anakubalika na hivyo watakuwa nyuma yake. Hilo liliamuriwa ni muda umepita.

Hata hivyo, kutokana na taratibu za chama chochote kile (in this case Chadema) ni wao Chadema ambao lazima wafuate mchakato wa kumpata mgombea wao na kumtangaza, hivyo ndio tangazo la Jumamosi.

NCCR, CUF na TLP wasingeshiriki katika mchakato huo ingawa wanaweza kuwa walikaribishwa kuwa wasikilizaji lakini jukumu hilo lilikuwa ni la Chadema na Chadema peke yake.

Sasa sijui hiyo papara, na jazba inatoka wapi?
 
Masatu bwana .Huwa hasumbui akili yake ila kesha iweka kubisha chochote . Yaani amekuwa kama katiba ya Simba SC.Maana kuna msatri unasema bishana na mpinzani yeyote wa Simba hadi ushinde ukishindwa basi mpigie ama mkate sikio ili mradi ushinde .
 
Taarifa za hivi punde ni kuwa CCM wakiongozwa na mzee Malecela wameanza kale ka mchezo ka Tunduru ka kununua shshada za wapiga kura na wameanzia eneo linaloitwa Matui na hapo yupo mzee Malecela mwenyewe akiongoza hujuma hiyo dhidi ya vyama vya upinzani.

Leo mgombea wa usshirikiano wa vyama amerudisha fomu kwa maandamano makubwa yaliyowashirikisha wananchi wengi sana .

Nitawapa kilichojiri huko Matui kwani najaribu kuhakiki taarifa zangu ili nisikosolewe kwa taarifa pungufu ila ni ukweli Malecela alikuwepo akifanya hiyo kazi nitawatajia kiasi cha pesa kinachotumika kununua shahada moja pamoja na mengineyo punde4 stay tuned.
 
Taarifa za hivi punde ni kuwa CCM wakiongozwa na mzee Malecela wameanza kale ka mchezo ka Tunduru ka kununua shshada za wapiga kura na wameanzia eneo linaloitwa Matui na hapo yupo mzee Malecela mwenyewe akiongoza hujuma hiyo dhidi ya vyama vya upinzani.

Leo mgombea wa usshirikiano wa vyama amerudisha fomu kwa maandamano makubwa yaliyowashirikisha wananchi wengi sana .

Nitawapa kilichojiri huko Matui kwani najaribu kuhakiki taarifa zangu ili nisikosolewe kwa taarifa pungufu ila ni ukweli Malecela alikuwepo akifanya hiyo kazi nitawatajia kiasi cha pesa kinachotumika kununua shahada moja pamoja na mengineyo punde4 stay tuned.

Mkuu kieleweke fanyeni mpango mmnase picha ya uhakika wakati yupo ndani ya shughuli ili tuwaumbue, yaani mzee malcela bado naye anashiriki huu upuuzi??

Nadhani washauri wake wamsaidie kabla hajaaibika na kuzeeka vibaya kama ANBEM
 
mpaka kieleweke, hayo ya kununua shahada haitoshi kusema, pandeni watu watakaojifanya wanauza warekodini muwaumbie hadi hivi sasa hakuna ushahidi wowote wa CCM kununua maana ungekuwepo ungetolewa.

Kuna ugumu gani wa kupanda wauza shahada feki ili muwakamate wanaonunua?
 
Makamba alifika Matui jana jioni na karudi DODODMA muda mfupi baada y6a kuwapo hapo ,na kwa jiografia ni kuwa Matui ni just 5hours driving to Dodoma ndio maana wote wameanzia kazi hapao na ukiangalia idadi ya wapiga kura utajua ni kwa nini kazi imeanzia hapo ila subirini tutauweka ushahidi hapa mapema leo jioni baada ya kikosi cha JF kufika eneo la tukio na kwa kuwa wapo njiani kurudi sehemu yenye network ya simu basi punde watanipa majibu ya uhakika nami nitawahabarisha.
 
Ndugu subirini mtayaona ya kina na yenye ushahiidi mwaka huu kwani hata anayetupa hizi taarifa ni mtu makini na pia alihusika kununua ila sijataka kuziweka hapa kwanza ni hadi kikosi cha JF kitakaponipatia ushahidi kamili.
 
Taarifa za hivi punde ni kuwa CCM wakiongozwa na mzee Malecela wameanza kale ka mchezo ka Tunduru ka kununua shshada za wapiga kura na wameanzia eneo linaloitwa Matui na hapo yupo mzee Malecela mwenyewe akiongoza hujuma hiyo dhidi ya vyama vya upinzani.

Leo mgombea wa usshirikiano wa vyama amerudisha fomu kwa maandamano makubwa yaliyowashirikisha wananchi wengi sana .

Nitawapa kilichojiri huko Matui kwani najaribu kuhakiki taarifa zangu ili nisikosolewe kwa taarifa pungufu ila ni ukweli Malecela alikuwepo akifanya hiyo kazi nitawatajia kiasi cha pesa kinachotumika kununua shahada moja pamoja na mengineyo punde4 stay tuned.

Taarifa nilizonazo mimi ni kuwa Dume la Mbegu Aka Tinga Tinga sasa limepaki bungeni Dodoma, likijazwa mafuta na punde litapelekwa Kiteto- na huko vitambulisho vya mpiga kura vitanunuliwa na uharamia wote utafanyike. Na mwisho Ole Kimesera ataambulia asilimia kumi kama nilivyotabiri. Wapinzani mlie tu. Hivyo vitisho vya Erasto Tumbo aliyeshindwa Kisesa kwamba fedha za ufisadi zitazuiwa zisigawanywe kwa nguvu ya umma vitawatokea puani. Na mkileta ungangari mtapata za Kikenya Kenya aka Ngunguri style!

PM

PM
 
Ndugu subirini mtayaona ya kina na yenye ushahiidi mwaka huu kwani hata anayetupa hizi taarifa ni mtu makini na pia alihusika kununua ila sijataka kuziweka hapa kwanza ni hadi kikosi cha JF kitakaponipatia ushahidi kamili.

Good Job, ila lazima wafunzwe adabu grrrrrrrrrrrrrh!!!
 
Alikuwepo kuanzia saa tano asubuhi leo huko kiteto kata ya Matui ambapo ndipo upinzani unategemea kuzindulia kampeni zake kesho kutwa......
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom