Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,392
- 39,493
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa inatolewa kwa Umma kwamba Kamati kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA inatarajia kukutana kesho jumamosi Januari26.2008 chini ya Mwenyekiti Freeman Mbowe.
Kamati kuu itafanyika jijini Dar es Salaam ambapo pamoja mambo mengine itajadili na kupitisha jina la mgombea ubunge jimbo la Kiteto kupitia CHADEMA.
Imetolewa na;
Erasto K. Tumbo
Mkurugenzi wa Habari na Uenezi
0713 47 47 07
Januari 25, 2008
Taarifa inatolewa kwa Umma kwamba Kamati kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA inatarajia kukutana kesho jumamosi Januari26.2008 chini ya Mwenyekiti Freeman Mbowe.
Kamati kuu itafanyika jijini Dar es Salaam ambapo pamoja mambo mengine itajadili na kupitisha jina la mgombea ubunge jimbo la Kiteto kupitia CHADEMA.
Imetolewa na;
Erasto K. Tumbo
Mkurugenzi wa Habari na Uenezi
0713 47 47 07
Januari 25, 2008