wewe unamatatizo upo dar ipi?? hata mgao wa umeme huoni?? niambie upo dar maeneo gani mkuu!mimi nipo dar tena kwenye moyo wa darisalama na wala sijaona huo mgao na sishangai Tanzania Daima kuandika hizo habari maana nawajua wamiliki wake na huo utakuwa ni mwendelezo wa propaganda zao..........
Note*
Katizo la umeme kwa muda wa saa limoja au mawili mara moja kwa wiki au wiki mbili kwa baadhi ya sehemu huwezi kuita mgao wa umeme.
100% nakuunga mkonotutamkumbuka lowassa sana sababu hakutaka hii maneno itokee. i wish angekuwa pm hadi leo tusingekuwa na mgao wala bibi yake mgao.
tutamkumbuka lowassa sana sababu hakutaka hii maneno itokee. i wish angekuwa pm hadi leo tusingekuwa na mgao wala bibi yake mgao.
tutamkumbuka lowassa sana sababu hakutaka hii maneno itokee. i wish angekuwa pm hadi leo tusingekuwa na mgao wala bibi yake mgao.
Mbinu za Lowassa hazikuwa sahihi kama mkakati wa muda mrefu. Zilikuwa za kutatua tatizo la umeme wa muda mfupi na zilikuwa za gharama sana, na kikubwa zaidi zilijaa ujanja mwingi wa kiulaji.
Mkakati wa kudumu wa tatizo la umeme TZ si kutafuta majenereta ya kutumia diesel au gas, ni kufua umeme toka mto rufiji kule stiglers gorge wenyewe wanapaita stigo. Palishapimwa na uwezo wake unajulikana. Panaweza kuzalisha umeme wa kuuza hata nchi zingine lakini ubinafsi wa viongozi ndio ulifanya ikajengwa mtera badala ya stigo. Umeme wa diesel na gas kwa eneo kubwa unapaswa kuwa ni wa dharura tu
Naripoti nikiwa maeneo ya tabata Kimanga, Eneo lote hili umeme umekatika mida ya saa nne kasoro kama dakika 15 (2145hrs)
Nahisi ndo mpango wa kuchakachua kura za Segerea