Uchaguzi Umeisha! Sasa ni makali ya Mgao wa Umeme KULIKONI?

hawajui kama kupata umeme ni haki yako ya kimsingi ya kikatiba.
hawata kusikiliza tena, walikuongopea wakati wa uchaguzi, sasa unaona their true color!!!!!!!!!
watakuzungusha kama jina lako, ili siku nyingine ya uchaguzi utakuwa na kizunguzungu hutajua cha kufanya ispokuwa kuwarudisha madarakani.
wakati unaofaa ni sasa wape elimu wanaokuzunguka.
 
Siyo wanaogopa maandamano, kwamba yakitangazwa wananchi wasipate taarifa?

Mi simu yangu inaishia chaji, the only source of info
 
Tuambieni hivi kumetokea nini TANESCO mara tuu baada ya kumalizika kupiga kura wanakata umeme wanavyo taka wao.Tuelezeni imekuwaje?
 
Si mmewachagua mafisadi wawaongoze!!! tuondokee hapa nenda Tanesco kawaulize:A S angry::A S angry:
 
Si mmewachagua mafisadi wawaongoze!!! tuondokee hapa nenda Tanesco kawaulize:A S angry::A S angry:

Mwambie bana!!! akaulize TANESCO yaani unakuja kuuliza hapa, Nenda NEC au Ikulu.... kaput!!:A S angry:
 
Tuambieni hivi kumetokea nini TANESCO mara tuu baada ya kumalizika kupiga kura wanakata umeme wanavyo taka wao.Tuelezeni imekuwaje?

Na ndo bado, sasa gharama za umeme na maji zita sky rocket, kwa kweli tuna majuha mengi kweli, yaani unamchagua mwizi, au unamchakachulia mwizi, hiyo akili au makoozi tupu!:A S angry::A S angry::A S angry:
 
Maeneo mengi Dar hayana umeme na kisingizio ni transformer.....................hivi karne ya 21 bado tunatoa sababu ambazo hazina mashiko kama hizi kuhalalisha sisi kubaki nyuma?
 
I am a public policy analyst based in Arusha, Tanzania

Hii ni habari au tetesi?
 
Sishangai hii ndiyo kazi zaidi, nguvu zaidi na ujinga zaidi.... mpaka 2015 tuje kuwaomba tena mtupe ridhaa tuongoze nchi hadi karne ya 22.

CCM OYEEEEEE......
 
si mmeichagua CCM tena ........ngojeni sasa muone

Na Msilalamike mara Maji ya mGAO, uMEME Wa Mgao Mpaka mshike Adabu
 
Ndugu, labda wewe haukai Dar, mgao mbona umeanza siku nyingi? Tanesco walijitahidi wakati wa uchaguzi na baada ya kura tu wakaanza kukata umeme.

mimi nipo dar tena kwenye moyo wa darisalama na wala sijaona huo mgao na sishangai Tanzania Daima kuandika hizo habari maana nawajua wamiliki wake na huo utakuwa ni mwendelezo wa propaganda zao..........

Note*

Katizo la umeme kwa muda wa saa limoja au mawili mara moja kwa wiki au wiki mbili kwa baadhi ya sehemu huwezi kuita mgao wa umeme.
 
I am a public policy analyst based in Arusha, Tanzania

Hii ni habari au tetesi?

mimi nipo dar tena kwenye moyo wa darisalama na wala sijaona huo mgao na sishangai Tanzania Daima kuandika hizo habari maana nawajua wamiliki wake na huo utakuwa ni mwendelezo wa propaganda zao..........

Note*

Katizo la umeme kwa muda wa saa limoja au mawili mara moja kwa wiki au wiki mbili kwa baadhi ya sehemu huwezi kuita mgao wa umeme.

Mbona haueleweki mkuu, mara uko arusha, mara dar, mara Tanzania daima wanaendeleza propaganda, mara ......

NAISHI TABATA, UMEME NI WA MGAO UNAKATWA SAA MOJA ASUBUHI, UNARUDISHWA SAA NANE MCHANA, UNAKATWA TENA SAA NNE USIKU NA KURUDISHWA SAA 10 ALFAJIRI!!! sio Tanzania daima tu, kuna gari imepita na kutangaza hivyo!! hupo wewe k&%%@e&&nge??

you better stay in arusha, maan hata huo moyo wa dsm hauujui wala hautakuja kuujua wewe!!! trust me!!!
 
Back
Top Bottom