Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
Huu mtaa tulishani hatuguswi na matatizo ya umeme kukatika usiku, siku ya jana umeme umekatika mida ya saa tatu tukadhani utarudi saa nne, subiri mpaka tano hakuna kitu.
Ni mpaka asubuhi saa mbili ndio umewashwa, hapa watu wameanza kuchaji power bank zao na kunyoosha nguo jioni muda huu.
Nadhani jana ilikuwa ni ukaribisho wa mgao unaoweza kudumu kwa muda mrefu sana.
Ni mpaka asubuhi saa mbili ndio umewashwa, hapa watu wameanza kuchaji power bank zao na kunyoosha nguo jioni muda huu.
Nadhani jana ilikuwa ni ukaribisho wa mgao unaoweza kudumu kwa muda mrefu sana.