Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

Kwa mujibu wa nukuu toka gazeti la Nipashe la jana,Jimbo la Lissu lina vijiji 43 na CHADEMA kapata vijiji 41 na CCM vijiji 2 tu!Hawajaonyesha vitongoji wala majina ya vijiji!

Lkn kama umepata vijiji kwa zaidi ya 92% ni wazi vitongoji navyo umepata vingi!

Hadi Nape kuweweseka vile jana kwenye media hawa wamechezea kichapo hasa
kama ni hivo nimemvulia kofia lissu, ametisha ile mbaaya. Kwa mwakani madiwani watakaoingia watafuata maelekezo ya cdm kwenye Wdc zao. Wapende wasipende.
 
uchaguzi wa jana ndo tarehe kumi na tano ndo ulikuwa uchaguzi uliowauma zaidi ccm.. kulikuwa na kata 11 ambazo zilifanya uchaguzi jana baada ya uchaguzi kwenye vituo hivyo kuhairishwa. CCM waltumia nguvu nyingi sana ikiwepo ya kupiga watu na kukodi vijana wao kutoka kata ya kitanzini kwenda kuleta vurugu huko.

si hayo tu viongozi wote wa mkoa wa ccm pia walikuwa huko wakifanya juu chini kujinusuru wasidondoke. licha ya mambo yote hayo lakini mwisho wa siku wananchi walipiga kura na matokeo ni kuwa CHADEMA walichukua viti vyote 11 wakiwaacha vichwa chini viongozi wa ccm.

kulingana na matokeo ya jana manaake CHADEMA wameziteka ofisi za CCM baada ya mitaa iliyopo ofisi hizo CHADEMA KUSHINDA KWA KISHINDO, ofisi hizo ni pamoja na ofisi ya wilaya ya iringa iliyopo mtaa wa saba saba na ofisi za CCM mkoa..... kuona hiyo haitoshi pia OFISI ZA MKUU WA MKOA NAZO ZIPO CHINI YA MTAA WA CHADEMA.
 
Mathematically imezaa matunda sana,kisiasa imefanya vizuri sana kwa namna wananchi walivyojisimamia katika maeneo yao ya uchaguzi.
 
...
kulingana na matokeo ya jana manaake CHADEMA wameziteka ofisi za CCM baada ya mitaa iliyopo ofisi hizo CHADEMA KUSHINDA KWA KISHINDO, ofisi hizo ni pamoja na ofisi ya wilaya ya iringa iliyopo mtaa wa saba saba na ofisi za CCM mkoa..... kuona hiyo haitoshi pia OFISI ZA MKUU WA MKOA NAZO ZIPO CHINI YA MTAA WA CHADEMA.
He he heee! Maana yake ni kwamba, ukitokea mgogoro wa mpaka kati ya kiwanja cha ofisi ya CCM na mwananchi ambaye ni jirani anayepakana na kiwanja hicho, basi CCM watalazimika waende kutafuta suluhu na jirani kwa wajumbe wa CHADEMA
 
2015 wakati wa kutangazwa matokeo serikali iwe na ambulace za kutosha vinginevyo wafia chama kama msalani hawataiona christmas ya 2016
 
Hongera sana UKAWA. Uvccm wameanzisha mtidno wa kupiga watu hata mbele ya polisi bila kujali kuna sheria na hakuna anayekemea.

Mimi kwa macho yangu nimeshuhudia Aruha vijana wa ccm siku mbili kabla ya uchaguzi wakipiga waetu barabarani walikokuwa wakipita wakiwa wengine ndani ya lori, wengine wakikimbia chini. Walipiga watu kwa mifimbo, tena wapita njia maeneo ya Golden Rose na hakuna hata aliyekuwa na busara ya kuwakanya. Ccm yote mijuha. Nikaona tena maeeneo ya clock tower, nikiwa chumbani Arusha Hotel ccm wakipiga watu hata barabara ikafungwa. Walidhani ndiyo kupata kura.

Matokeo yake wameyaona maana niliskia watu wakisema ccm wamechanganyikiwa na dawa yao ni kutokuwapigia kura. Wapumb.avu sana. Wanapiga watu kwa fimbo barabarani kwa ajili gani. Ni kweli ccm ilichoambulia Arusha wanakijua wao. Haya ni matokeo ya kunyanyasha watu hadiwaakti wa kuomba kura.

Anayebisha ni mdau wa upigaji ule. Anayetaka kuelewa akaulize Golden Rose ama maduka ya madawa yaliyo opposite na hapo akaulize, maana watu walibaki wameshika viuno wakishangaa hiki kichaa cha ccm. Au la pia anaweza kwenda kuuliza kituo cha mafuta kilichopo Clock tower, wale wafanyakazi walishuhudia maana pia niliwaona wakishangaa tu.

Ccm ni mbweha mwitu. Ni wendawazimu sasa wanadhani kupiga watu ndiyo kuonyesha ubora. Matokeo yake wameyaona kwenye kura.

Washenzi sana.
 
uchaguzi wa jana ndo tarehe kumi na tano ndo ulikuwa uchaguzi uliowauma zaidi ccm.. kulikuwa na kata 11 ambazo zilifanya uchaguzi jana baada ya uchaguzi kwenye vituo hivyo kuhairishwa. CCM waltumia nguvu nyingi sana ikiwepo ya kupiga watu na kukodi vijana wao kutoka kata ya kitanzini kwenda kuleta vurugu huko.

si hayo tu viongozi wote wa mkoa wa ccm pia walikuwa huko wakifanya juu chini kujinusuru wasidondoke. licha ya mambo yote hayo lakini mwisho wa siku wananchi walipiga kura na matokeo ni kuwa CHADEMA walichukua viti vyote 11 wakiwaacha vichwa chini viongozi wa ccm.

kulingana na matokeo ya jana manaake CHADEMA wameziteka ofisi za CCM baada ya mitaa iliyopo ofisi hizo CHADEMA KUSHINDA KWA KISHINDO, ofisi hizo ni pamoja na ofisi ya wilaya ya iringa iliyopo mtaa wa saba saba na ofisi za CCM mkoa..... kuona hiyo haitoshi pia OFISI ZA MKUU WA MKOA NAZO ZIPO CHINI YA MTAA WA CHADEMA.
Sera ya jino kwa jino ndio mpango mzima
 
Alipo mtu makini kama Mh. Msigwa lazima matokeo yaonekane hata kwa wasiotaka kuona. Hongereni sana.
 
Huyo jamaa alikuwa na tamaa sana, ni diwani bado anataka na uenyekiti wa kijiji? ni sawa na Mbunge akaombe udiwani ina maana hajiamnini kama mwakani atapita sio?
 
Back
Top Bottom