Peter Msigwa
Vituo vyote nane vilivyobaki kata ya
mkwawa CHADEMA tumeshinda vyote, pia
kimoja zaidi kata ya kihesa, na kingine
kata ya MAKORONGONI. Yaan Leo maccm
tumeyapiga 10 bila majibu,
Kwa matokeo hayo tunajumla ya viti 64
kutoka kimoja 2009.
Vituo vyote nane vilivyobaki kata ya
mkwawa CHADEMA tumeshinda vyote, pia
kimoja zaidi kata ya kihesa, na kingine
kata ya MAKORONGONI. Yaan Leo maccm
tumeyapiga 10 bila majibu,
Kwa matokeo hayo tunajumla ya viti 64
kutoka kimoja 2009.