FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Kebehi.....
KM,
.mpola mzee
Hata hivyo, CCM kimeshindwa kueleza maamuzi yaliyofanwa na kikao cha CC kilichoanza Jumamosi na kuendelea hadi jana, badala yake kikatoa taarifa inayovilaumu vyombo vya habari vilivyochapishwa habari kuhusu baadhi ya maamuzi yaliyofanyika.
Baadhi ya magazeti ya kila siku likiwemo gazeti hili, jana yaliripoti baadhi ya maamuzi yaliyofanywa na CC kuwa ni kuwasimamisha uongozi Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi, Abihudi Maregesi na Katibu wake, Cosmas Hinju na kumfukuza kazi Katibu wa CCM wa Mkoa wa Singida, Mujuni Kataraiya kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za ofisi.