BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,377
- 8,121
Wakati Mahakama Kuu ikisubiriwa kutoa uamuzi wa kuidhinisha au kubatilisha Pingamizi la Matokeo ya Urais Jumatatu Septemba 5, 2022, Ubalozi Marekani umeweka vizuizi vya watu kusafiri kwenye mji wa Kisumu, eneo analotokea Raila Odinga
Taarifa ya Ubalozi imenukuliwa ikisema mara kwa mara Kenya imekuwa na migogoro baada ya uchaguzi hivyo kuna uwezekano wa kutokea maandamano yenye vurugu yanayoweza kuhitaji Polisi kuingilia kati, pia migomo na mizozo ya hali ya kiuchumi inaweza kusababisha vurugu
Kutokana na tahadhari hizo, Ubalozi wa Marekani umeweka vikwazo vya usafiri kwa wafanyakazi wa serikali ya Marekani mjini Kisumu. Wizara ya Mambo ya Nje pia imewakumbusha raia wa Marekani kuchukua tahadhari zote.
Taarifa ya Ubalozi imenukuliwa ikisema mara kwa mara Kenya imekuwa na migogoro baada ya uchaguzi hivyo kuna uwezekano wa kutokea maandamano yenye vurugu yanayoweza kuhitaji Polisi kuingilia kati, pia migomo na mizozo ya hali ya kiuchumi inaweza kusababisha vurugu
Kutokana na tahadhari hizo, Ubalozi wa Marekani umeweka vikwazo vya usafiri kwa wafanyakazi wa serikali ya Marekani mjini Kisumu. Wizara ya Mambo ya Nje pia imewakumbusha raia wa Marekani kuchukua tahadhari zote.