Hongereni sana viongozi na wanachama wote mliojishughulisha kwenye uchaguzi mkuu katika jimbo la igunga. CDM imepata kura nyingi (Iwe zimechakachuliwa au la) , Ccm imepata ushindi mwembamba japokuwa wamemiliki jimbo hilo kwa miaka 18. Msife moyo tuendelee kupigana
kwani utawala wa CCM unaelekea ukingoni.
Hela mlizo zi invest Igunga ingekuwa kufungua matawi yangekuwa 1578, mmepata pigo kubwa sana hamna furaha na mmeanza kusambaratika
Hela mlizo zi invest Igunga ingekuwa kufungua matawi yangekuwa 1578, mmepata pigo kubwa sana hamna furaha na mmeanza kusambaratika
Tusivunjike moyo makamanda wote wa cdm, ninapokaribia kukata tamaa huwa nakumbuka ukweli hushinda, tz imejaa watu katili na mafisadi wakora vibaya sana wasio na hata chembe ya uzalendo kwa taifa hili, lakini pamoja na hayo yote pamoja tutashinda.hongereni sana makamanda wangu wote mliopigana vita ile ya haki na uhuru wa pili kwa wanaigunga tangu kuanza kwa kampeni.poleni kwa yote, aluta kontinua......
Ni dhahiri kabisa kuwa CCM inaporomoka
Na maswahiba wao wa ndoa pia!
Kutoka 35,000+ hadi 26,000
Imekaaje hii? Inatupatia picha gani? Kutoka 35,000+ hadi 26,000+: na kutoka 0 hadi 23,000+; na kutoka 11,000+ hadi 2,000+.
Kwa wasioelewa nasema niniu, hizo na tarakimu za kura walizopata vyama vikuu vitatu katika uchaguzi mdogo Igunga, zililinganishwa na zile za uchaguzi mkuu wa mwaka jana.
Imekaaje hii? Inatupatia picha gani? Kutoka 35,000+ hadi 26,000+: na kutoka 0 hadi 23,000+; na kutoka 11,000+ hadi 2,000+.
Kwa wasioelewa nasema niniu, hizo na tarakimu za kura walizopata vyama vikuu vitatu katika uchaguzi mdogo Igunga, zililinganishwa na zile za uchaguzi mkuu wa mwaka jana.