Sobangeja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 401
- 354
Scope,<br />
<br />
toa ujinga wako hapa
Huo si ubunifu hata kidogo!!! Ni udhalilishaji wa wanyama.Wanyama kazi wote si kwa ajili ya kubeba watu ni kwa ajili ya kubeba mizigo,kulima na wengine kwa usalama wa nyumba zetu. kubeba watu ni kukiuka haki za wanyama.Kwani hilo ni gari la abiria? Ndio maana hata serikali yetu inakataza malori kubeba abiria.