Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Hiki ndicho nachokiona na pia ndio nakisikia kwa habari za chini chini.
Hata hivyo, coalition ya SUKUMA GANG + ACT haiwezi kuwa na nguvu unless wangeihusisha CHADEMA, ila tatizo ni vigumu kwa SUKUMA GANG kuomba ushirikiano na CHADEMA kwa uhalifu waliofanya dhidi ya chama hiki wakati wa Mwendazake japo kwenye siasa wanasema hakuna adui wala rafiki wa kudumu.
Pia CHADEMA wawe makini kwani baadhi ya makamanda wanaweza kurubuniwa ili wahamie kambi ya ACT na SUKUMA GANG.
Wacha tusubiri muda utaongea.
Hata hivyo, coalition ya SUKUMA GANG + ACT haiwezi kuwa na nguvu unless wangeihusisha CHADEMA, ila tatizo ni vigumu kwa SUKUMA GANG kuomba ushirikiano na CHADEMA kwa uhalifu waliofanya dhidi ya chama hiki wakati wa Mwendazake japo kwenye siasa wanasema hakuna adui wala rafiki wa kudumu.
Pia CHADEMA wawe makini kwani baadhi ya makamanda wanaweza kurubuniwa ili wahamie kambi ya ACT na SUKUMA GANG.
Wacha tusubiri muda utaongea.