FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Dada na kaka zangu mlio nchi za nje, mtapoteza haki yenu ya kuchagua viongozi hadi lini, jitahidini mrudi nyumbani Tanzania October hii mpige kura ili muache kulalamika kwa kuchaguliwa viongozi msiowataka.
Mkija msitusahau kuja na zawadi ya Pizza na baga,pia mje na wajomba na shangazi wetu (Watoto wenu). Waje waone mabadiliko makubwa kama reli ya Sgt, Mbuga za wanyama kama Ngorongoro, Nyerere national Park, Daraja la Mfugale na Dada zetu warembo.
Maoni.
Mkija msitusahau kuja na zawadi ya Pizza na baga,pia mje na wajomba na shangazi wetu (Watoto wenu). Waje waone mabadiliko makubwa kama reli ya Sgt, Mbuga za wanyama kama Ngorongoro, Nyerere national Park, Daraja la Mfugale na Dada zetu warembo.
Maoni.