SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Kwani ukiwa mwanachama wa CCM na vyombo vyako vya habari vinakuwa wananchama wa CCM vile vile? Havitakiwi kuwa OBJECTIVE?
Kama kuna EVIDENCE kwamba viongozi fulani wameiba mali ya umma, au wamekutwa na nyara za seriakli, na wewe ukaamuru magazeti yako au TV yako iwapigie kampeni, basi wewe ni FISADI.
Kama Mengi angeipenda Tanzania kweli basi angeagiza vyombo vyake vya habari viwe OBJECTIVE.
It's time to boycott Mengi's papers, radio and TV. Ni vyombo vya mafisadi.
Ndiyo maana fisadi mwenzake RA alimvika cheo cha FISADI NYANGUMI, hawa wote wanastahili kupigwa risasi kwani ufisadi wao umesababisha maafa kwa mamilioni ya watz