Ni chombo kipi cha habari ambacho kipo huru kwa sasa?

Tulimumu

JF-Expert Member
Mar 11, 2013
14,305
12,969
Wakuu, wakati wa JK kulikuwa na uhuru mkubwa wa vyombo vya habari kwa maana ya redio, magazeti, TV na mitandao ya jamii.

Baada ya kuingia Msafiri hali ikawa mbaya. Vyombo vingi vikapigwa pin, waandishi kukamatwa na kufunguliwa kesi na bichache bilivyobaki vikageuza muelekeo na kuanza kusifu na kuabudu.

Baada ya Msafiri kuondoka ghafla akaingia hawa. Kuna mabadiliko kidogo sana ya juu kwa juu lakini kiundani hali bado ni ilele. Zamani ikifika saa 2 jioni wengi tulikuwa tunaitegemea ITV lakini sasa siyo ile tena toka mmiliki wake Bwana Mengi atangulie hakini.

TV na redio zake nazo zimehamia katika mapambio ya sifa. Kila siku ni nukuu za Hawa utadhani sala ya Bwana. Magazeti nayo hakuna tena. Mitandaoni nako wanakaba. Wasanii nao wanapigwa pin wakiimba nyimbo za kukosoa na kuonesha madhaifu ya watawala. Sasa sijui ni chombo gani kiko huru kwa sasa tukakitegemea kuonesha kuwa malkia yuko uchi.
 
Wakuu, wakati wa JK kulikuwa na uhuru mkubwa wa vyombo vya habari kwa maana ya redio, magazeti, TV na mitandao ya jamii.

Baada ya kuingia Msafiri hali ikawa mbaya. Vyombo vingi vikapigwa pin, waandishi kukamatwa na kufunguliwa kesi na bichache bilivyobaki vikageuza muelekeo na kuanza kusifu na kuabudu.

Baada ya Msafiri kuondoka ghafla akaingia hawa. Kuna mabadiliko kidogo sana ya juu kwa juu lakini kiundani hali bado ni ilele. Zamani ikifika saa 2 jioni wengi tulikuwa tunaitegemea ITV lakini sasa siyo ile tena toka mmiliki wake Bwana Mengi atangulie hakini.

TV na redio zake nazo zimehamia katika mapambio ya sifa. Kila siku ni nukuu za Hawa utadhani sala ya Bwana. Magazeti nayo hakuna tena. Mitandaoni nako wanakaba. Wasanii nao wanapigwa pin wakiimba nyimbo za kukosoa na kuonesha madhaifu ya watawala. Sasa sijui ni chombo gani kiko huru kwa sasa tukakitegemea kuonesha kuwa malkia yuko uchi.
Hakipo
 
Wakuu, wakati wa JK kulikuwa na uhuru mkubwa wa vyombo vya habari kwa maana ya redio, magazeti, TV na mitandao ya jamii.

Baada ya kuingia Msafiri hali ikawa mbaya. Vyombo vingi vikapigwa pin, waandishi kukamatwa na kufunguliwa kesi na bichache bilivyobaki vikageuza muelekeo na kuanza kusifu na kuabudu.

Baada ya Msafiri kuondoka ghafla akaingia hawa. Kuna mabadiliko kidogo sana ya juu kwa juu lakini kiundani hali bado ni ilele. Zamani ikifika saa 2 jioni wengi tulikuwa tunaitegemea ITV lakini sasa siyo ile tena toka mmiliki wake Bwana Mengi atangulie hakini.

TV na redio zake nazo zimehamia katika mapambio ya sifa. Kila siku ni nukuu za Hawa utadhani sala ya Bwana. Magazeti nayo hakuna tena. Mitandaoni nako wanakaba. Wasanii nao wanapigwa pin wakiimba nyimbo za kukosoa na kuonesha madhaifu ya watawala. Sasa sijui ni chombo gani kiko huru kwa sasa tukakitegemea kuonesha kuwa malkia yuko uchi.
Jf Pekee
 
Wakuu, wakati wa JK kulikuwa na uhuru mkubwa wa vyombo vya habari kwa maana ya redio, magazeti, TV na mitandao ya jamii.

Baada ya kuingia Msafiri hali ikawa mbaya. Vyombo vingi vikapigwa pin, waandishi kukamatwa na kufunguliwa kesi na bichache bilivyobaki vikageuza muelekeo na kuanza kusifu na kuabudu.

Baada ya Msafiri kuondoka ghafla akaingia hawa. Kuna mabadiliko kidogo sana ya juu kwa juu lakini kiundani hali bado ni ilele. Zamani ikifika saa 2 jioni wengi tulikuwa tunaitegemea ITV lakini sasa siyo ile tena toka mmiliki wake Bwana Mengi atangulie hakini.

TV na redio zake nazo zimehamia katika mapambio ya sifa. Kila siku ni nukuu za Hawa utadhani sala ya Bwana. Magazeti nayo hakuna tena. Mitandaoni nako wanakaba. Wasanii nao wanapigwa pin wakiimba nyimbo za kukosoa na kuonesha madhaifu ya watawala. Sasa sijui ni chombo gani kiko huru kwa sasa tukakitegemea kuonesha kuwa malkia yuko uchi.
JF
Pasco
 
Wakuu, wakati wa JK kulikuwa na uhuru mkubwa wa vyombo vya habari kwa maana ya redio, magazeti, TV na mitandao ya jamii.

Baada ya kuingia Msafiri hali ikawa mbaya. Vyombo vingi vikapigwa pin, waandishi kukamatwa na kufunguliwa kesi na bichache bilivyobaki vikageuza muelekeo na kuanza kusifu na kuabudu.

Baada ya Msafiri kuondoka ghafla akaingia hawa. Kuna mabadiliko kidogo sana ya juu kwa juu lakini kiundani hali bado ni ilele. Zamani ikifika saa 2 jioni wengi tulikuwa tunaitegemea ITV lakini sasa siyo ile tena toka mmiliki wake Bwana Mengi atangulie hakini.

TV na redio zake nazo zimehamia katika mapambio ya sifa. Kila siku ni nukuu za Hawa utadhani sala ya Bwana. Magazeti nayo hakuna tena. Mitandaoni nako wanakaba. Wasanii nao wanapigwa pin wakiimba nyimbo za kukosoa na kuonesha madhaifu ya watawala. Sasa sijui ni chombo gani kiko huru kwa sasa tukakitegemea kuonesha kuwa malkia yuko uchi.
Kuna uhuru mkubwa sana wa vyombo vya habari shida ni wanatoa habari elimu zao ni za hapa na pale hawajui waandike Nini Wala wahoji Nini. Sasa angalia elimu za wanahabari

1. Masanja........EFM... Std seven
2. Kitenge.........wasfi....std seven
3. Zembwela...wasafi....std seven
4. Mwinaku.....clouds......papa
Nk

Sasa unaona Kuna waandishi wa habari hapo wa kuandika kitu Cha maana au ni vichekesho tu. Ndo mana hivi vichekesho serikali inaona ivipige Pini tu mana hakuna mwenye akili ya maana ya kusoma utombo.

Hata kusoma majina ya viongozi hawajui. Kuna mmoja tbc alishindwa hata kusoma kiongozi wa ujerumani eti Janka badala ya junker staymire. Yule Binti anaitwa Mavinfi elimu yake ni ngumbaro kabisa. Kuna mwingine yupo radio tumani alishindwa kutaja jina la rais wa ujerumani akataka kilugha chao
 
Wakuu, wakati wa JK kulikuwa na uhuru mkubwa wa vyombo vya habari kwa maana ya redio, magazeti, TV na mitandao ya jamii.

Baada ya kuingia Msafiri hali ikawa mbaya. Vyombo vingi vikapigwa pin, waandishi kukamatwa na kufunguliwa kesi na bichache bilivyobaki vikageuza muelekeo na kuanza kusifu na kuabudu.

Baada ya Msafiri kuondoka ghafla akaingia hawa. Kuna mabadiliko kidogo sana ya juu kwa juu lakini kiundani hali bado ni ilele. Zamani ikifika saa 2 jioni wengi tulikuwa tunaitegemea ITV lakini sasa siyo ile tena toka mmiliki wake Bwana Mengi atangulie hakini.

TV na redio zake nazo zimehamia katika mapambio ya sifa. Kila siku ni nukuu za Hawa utadhani sala ya Bwana. Magazeti nayo hakuna tena. Mitandaoni nako wanakaba. Wasanii nao wanapigwa pin wakiimba nyimbo za kukosoa na kuonesha madhaifu ya watawala. Sasa sijui ni chombo gani kiko huru kwa sasa tukakitegemea kuonesha kuwa malkia yuko uchi.
Waandishi wenyewe Kila Balile 😂😂😂 yaani hata iyo TEF tumepigwa 😂😂
 
Kuna uhuru mkubwa sana wa vyombo vya habari shida ni wanatoa habari elimu zao ni za hapa na pale hawajui waandike Nini Wala wahoji Nini. Sasa angalia elimu za wanahabari

1. Masanja........EFM... Std seven
2. Kitenge.........wasfi....std seven
3. Zembwela...wasafi....std seven
4. Mwinaku.....clouds......papa
Nk

Sasa unaona Kuna waandishi wa habari hapo wa kuandika kitu Cha maana au ni vichekesho tu. Ndo mana hivi vichekesho serikali inaona ivipige Pini tu mana hakuna mwenye akili ya maana ya kusoma utombo.

Hata kusoma majina ya viongozi hawajui. Kuna mmoja tbc alishindwa hata kusoma kiongozi wa ujerumani eti Janka badala ya junker staymire. Yule Binti anaitwa Mavinfi elimu yake ni ngumbaro kabisa. Kuna mwingine yupo radio tumani alishindwa kutaja jina la rais wa ujerumani akataka kilugha chao
Ina maana wazungu kushindwa kutaja vizuri majina yetu waafrika ni upungufu wao wa elimu?
 
Ina maana wazungu kushindwa kutaja vizuri majina yetu waafrika ni upungufu wao wa elimu?
Kabla hujaanza kusoma habari fanya utafiti kwanza ujiridhishe majina ya watu yanatamkwaje. Kuna watu wengine tuko sensitive na majina.
 
Rais Benjamin Mkapa na Rais Kikwete walijaribu kutuonyesha husiano wa binadamu na vyombo vya habari
 
Wakuu, wakati wa JK kulikuwa na uhuru mkubwa wa vyombo vya habari kwa maana ya redio, magazeti, TV na mitandao ya jamii.

Baada ya kuingia Msafiri hali ikawa mbaya. Vyombo vingi vikapigwa pin, waandishi kukamatwa na kufunguliwa kesi na bichache bilivyobaki vikageuza muelekeo na kuanza kusifu na kuabudu.

Baada ya Msafiri kuondoka ghafla akaingia hawa. Kuna mabadiliko kidogo sana ya juu kwa juu lakini kiundani hali bado ni ilele. Zamani ikifika saa 2 jioni wengi tulikuwa tunaitegemea ITV lakini sasa siyo ile tena toka mmiliki wake Bwana Mengi atangulie hakini.

TV na redio zake nazo zimehamia katika mapambio ya sifa. Kila siku ni nukuu za Hawa utadhani sala ya Bwana. Magazeti nayo hakuna tena. Mitandaoni nako wanakaba. Wasanii nao wanapigwa pin wakiimba nyimbo za kukosoa na kuonesha madhaifu ya watawala. Sasa sijui ni chombo gani kiko huru kwa sasa tukakitegemea kuonesha kuwa malkia yuko uchi.
Jamii Forum
 
Back
Top Bottom