Ni kweli bt kuna tofauti jmn😂😂😂😂hii hutokea ukipiga ile kitu kiuhakika na kwa muda mrefu na husaidia sana kama lubricant hivyo kuondoa uwezekano wa michubuko ba haina harufu kabisa au normal harufu ya mhusika. Slippery when wet 😜
Hapo sawa ma rangi yake inakuwa ni colourless to cream/white
ikiwa brown,yellow nk fatilia tiba
🙈wataalam mabaharia na kazi zenu heeheheUtadhani umepaka lotio fulani hivi nyeupeeee inaenea kwenye papuchi yote na dushe na wakati mwingine hutapakaa hadi maeneo ya chini ya tumbo 😜
Ni kweli bt kuna tofauti jmn
Theres lubrication and there's abnormal discharge
Normal huwa ipo na inaongezeka as ur turned on zaidi
Sema tunatofautiana
Na 'monthly cycle' pia inachangia kubadilika kwa discharges
muda mwingine ni colourless kabisaa ila ipo nyingi
Na smtimes inakua cream to white
🙈wataalam mabaharia na kazi zenu heehehe
Hawashwi,hatoi harufu mbaya,Hakuna maumivu,haivutiki.Iko Kama lotion ya cream au nyeupe.Navyojua
discharge wkt wa tendo inakuwepo nyingi ila isiwe km maziwa mgando..huwa inakua km ute wa yai ama km maji lakini yako viscous hivi,kama yanavutika
kikubwa usiwashwe wala kutoa harufu mbaya hapo ndo huwa kuna infection
Mkuu BAK tusije tukawa tunatofautiana kuelewa,Mimi sizungumzii ile fluid Kama Ute wa yai.hiyo naijua sana.nazungumzia cream Kama lotion nyeupe hivi.😂😂😂😂hii hutokea ukipiga ile kitu kiuhakika na kwa muda mrefu na husaidia sana kama lubricant hivyo kuondoa uwezekano wa michubuko ba haina harufu kabisa au normal harufu ya mhusika. Slippery when wet 😜
Not brown not yellowHapo sawa ma rangi yake inakuwa ni colourless to cream/white
ikiwa brown,yellow nk fatilia tiba
Ahaa!Hapa naweza kuanza kuelewaNi kweli bt kuna tofauti jmn
Theres lubrication and there's abnormal discharge
Normal huwa ipo na inaongezeka as ur turned on zaidi
Sema tunatofautiana
Na 'monthly cycle' pia inachangia kubadilika kwa discharges
muda mwingine ni colourless kabisaa ila ipo nyingi
Na smtimes inakua cream to white
Sawa kabisa,je sio ugonjwaUtadhani umepaka lotio fulani hivi nyeupeeee inaenea kwenye papuchi yote na dushe na wakati mwingine hutapakaa hadi maeneo ya chini ya tumbo 😜
Mkuu BAK tusije tukawa tunatofautiana kuelewa,Mimi sizungumzii ile fluid Kama Ute wa yai.hiyo naijua sana.nazungumzia cream Kama lotion nyeupe hivi.
🤛Utadhani umepaka lotio fulani hivi nyeupeeee inaenea kwenye papuchi yote na dushe na wakati mwingine hutapakaa hadi maeneo ya chini ya tumbo 😜
Sawa kabisa,kwa hiyo hao hawana shida.Mimi naizungumzia hiyo hiyo Mkuu. Ute ule hujitokeza wakati wa foreplay na hiyo creamy stuff huwezi kuiona wakati wa foreplay.
Uchumi wa katiJe kama Ni ugonjwa,unatibika?
Kama hakunwi kisawasawa,anatakiwa akunweje,
-Kila siku Mara ngapi?
-Kumsugua muda mrefu kwa kila mzunguko mmoja?
Au mitindo tofauti?
Akikujibu unitagnimemuai
bisha wewe unamfahamu? au ni wewe?
Maalim hiyo picha gani kwenye avatarsawa dokta. ila kwanini huo uchafu utoke wakati wa kugegedana? kwa maelezo yako hiyo whitish materials unayosema ingepaswa itoke wakati wote
Habari zenu wataalamu wa afya.
Naomba kufahamu juu ya hiki kitu.
Mimi Ni me,lakini katika kufanya mapenzi na baadhi ya wapenzi wangu nimekuwa nikiina wakitokwa na vitu Kama cream ya maziwa au lotion nyeupe au Kama rangi ya pink kwa mbaaaali.
Ni umajimaji wenye uzito sawa na lotion ya kujipaka.
Sasa je?
Huu Ni ugonjwa au fluid ya kawaida tu?
Lakini hiyo kitu siioni kwa wanawake wengine,Hawa wengine wao hutoa ile juice ya kawaida tu yenye rangi Kama Ute wa yai.Hii kwangu mimi naona Ni kawaida tu.
Nauliza hiyo Kama cream ya maziwa au pink Ni ugonjwa au kawaida?
Msaada tafadhali.
Hata Mimi hiyo kitu nimeiona mpaka inanifanya niwe na wasiwasi na ukifanya nae mara kadhaa huondoka huo Ute na uchi unakua msafi kama inavyotakiwa hembu mliotangulia na hizi mambo mtupe mwanga, maana sio kama anawashwa au tatizo Ila anatokwa na vitu vyeupe kama creame.
Kwa Hawa ninaowaelezea hapa sijakutana na anaetoa harufu yoyote mbaya zaidi ya hiyo cream.