Canabian Rasta
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 773
- 1,708
Nimegundua mapenzi yana mapana yake na ukizama kwa kina utagundua kila mtu ana namna yake yakufurahia mapenzi, Mimi sio mjuzi sana kwenye secta yamahaba nachojua zaidi ni majukumu yangu kama baba ndani ya familia.
Sasa wanasema ukishangaa ya mussa utayaona ya filauni, kwakifupi haikua kawaida yangu ila nimejikuta nimekua mpya kwenye huba nalopata kutoka kwa mke wangu.
Zamani nilikua kila tukipishana kauli naishia kuchukia sana ila nashuruku baadakupata huu mwa40 sasa sina baya la kutunza moyoni zaidi ya mema yake.
Ni muda sasa kila tukiwa sita kwa sita na mama chanja nimekua nikimporomoshea matusi mazito mazito kimoyo moyo na muda mwingine kwa sauti huku nikimsindikizia kichapo kisicho na maumivu wenyewe wanaita kumpelekea moto au hardcore.
Inshort nimejikuta ninapata raha ya ajabu na kila nikimaliza tendo na nimezidi kumpenda kila siku inayokua mpya maana hatamakosa madogo madogo nikishamtukana huko kwenye show nikitoka hua nakua nishamsaheme hata bila yeye kujua.
Namalizia ujumbe huu kwa kusema sehemu ya sahihi ya kupunguzia hasira kwa hawa viumbe wenzetu basi nikuchapa ivo vi..PAKA vyao mpaka viseme “Nyauuu”, hutojutia mwanaume mwenzangu.
Sasa wanasema ukishangaa ya mussa utayaona ya filauni, kwakifupi haikua kawaida yangu ila nimejikuta nimekua mpya kwenye huba nalopata kutoka kwa mke wangu.
Zamani nilikua kila tukipishana kauli naishia kuchukia sana ila nashuruku baadakupata huu mwa40 sasa sina baya la kutunza moyoni zaidi ya mema yake.
Ni muda sasa kila tukiwa sita kwa sita na mama chanja nimekua nikimporomoshea matusi mazito mazito kimoyo moyo na muda mwingine kwa sauti huku nikimsindikizia kichapo kisicho na maumivu wenyewe wanaita kumpelekea moto au hardcore.
Inshort nimejikuta ninapata raha ya ajabu na kila nikimaliza tendo na nimezidi kumpenda kila siku inayokua mpya maana hatamakosa madogo madogo nikishamtukana huko kwenye show nikitoka hua nakua nishamsaheme hata bila yeye kujua.
Namalizia ujumbe huu kwa kusema sehemu ya sahihi ya kupunguzia hasira kwa hawa viumbe wenzetu basi nikuchapa ivo vi..PAKA vyao mpaka viseme “Nyauuu”, hutojutia mwanaume mwenzangu.