Kama ungewez leo sikilz kipnd RFA nadhan saa tatu. na nusu mpka nne kamil usiku kuna dacktar kule amefanua vzrHabari zenu wataalamu wa afya.
Naomba kufahamu juu ya hiki kitu.
Mimi Ni me,lakini katika kufanya mapenzi na baadhi ya wapenzi wangu nimekuwa nikiina wakitokwa na vitu Kama cream ya maziwa au lotion nyeupe au Kama rangi ya pink kwa mbaaaali.
Ni umajimaji wenye uzito sawa na lotion ya kujipaka.
Sasa je?
Huu Ni ugonjwa au fluid ya kawaida tu?
Lakini hiyo kitu siioni kwa wanawake wengine,Hawa wengine wao hutoa ile juice ya kawaida tu yenye rangi Kama Ute wa yai.Hii kwangu mimi naona Ni kawaida tu.
Nauliza hiyo Kama cream ya maziwa au pink Ni ugonjwa au kawaida?
Msaada tafadhali.
itakuwa ni mtindi
Nakuhakikishia pasina Shaka Hawa ninaowazungumzia hakuana hata mwenye ujanja wa kupaka viongeza utamu.Mtizamo wangu... wanawake wengi saiv wanachangamoto ya uke kuwa mkavu... Na inachukua muda Sana kulainika... So maybe wanapaka vitu huko Kulainisha....pili saiv Kuna hizi vitu vinauzwa Sana mtandaoni kuongeza sijui utamu... Nilimsikia siku dokta mwaka alielezea vina madhara makubwa Sana
Na Kama anafanywa Mara kwa Mara na bado inatoka Ni Nini hicho,ni ugonjwa?Ukiona anatoa kama cream ya maziwa jua amekaa mda mrefu bila kufanya.
Kama anafanya mara kwa mara na bado inatoka cream kuna moja kati ya haya mawili:Na Kama anafanywa Mara kwa Mara na bado inatoka Ni Nini hicho,ni ugonjwa?
Je kama Ni ugonjwa,unatibika?Kama anafanya mara kwa mara na bado inatoka cream kuna moja kati ya haya mawili:
1.Ni ugonjwa
2.Hafanywi/hakunwi kisawasawa
1.Kama ni ugonjwa unatibika ukimpeleka/akienda hospitali.Je kama Ni ugonjwa,unatibika?
Kama hakunwi kisawasawa,anatakiwa akunweje,
-Kila siku Mara ngapi?
-Kumsugua muda mrefu kwa kila mzunguko mmoja?
Au mitindo tofauti?
UgonjwaNa Kama anafanywa Mara kwa Mara na bado inatoka Ni Nini hicho,ni ugonjwa?
Mke wangu siku za karibuni ana uchafu mweupe mwingi tofauti na zamani,
Kila nikimaliza tendo nikitoa dushelele linazungukwa na uchafu mweupe mwingi.
Hakua hivyo zamani ,upendo unazidi kupungua.Hivi huu niugonjwa au
hahahaha anaweza kuunywa mkuu?itakuwa ni mtindi
Sio ugonjwa mkuu...yuko horny sana....ni kawaida sana kwa mwanamke na inaonesha ameridhika emotional....I stand to be corrected