Ahahahaa alechino (hata spelling sizijue)Enzi za mikate ya siha na ice cream Avalon
Alikuwa Mwitaliano nadhani hujakoseaAhahahaa alechino (hata spelling sizijue)
Mbona hata sasa tunapiga hivyo.Watu wa enzi hizo walifaidi walikuwa wanajipigia nyama kwa nyama hofu yao vimafua tu vya hapa na pale. Utamu umeingia sumu.
ila kulikuwa na VVUHalafu kulikuwa Hakuna ukimwi
Mada ipo vizuri wewe unachanganya na upuuzi wakoNa misambwanda FAKE ya mchina. Hakukuwa na mafisadi, wezi, wahuni na wauaji kwenye chama tawala na Serikali.
Mkuu hata huku kwenye entertainment? We ni nomaa.Na misambwanda FAKE ya mchina. Hakukuwa na mafisadi, wezi, wahuni na wauaji kwenye chama tawala na Serikali.
Dah!Halafu kulikuwa Hakuna ukimwi
Mkuu hizo Peugeot zilikuwa noma baada ya 404 zikaja 504Hiyo Ilikuwa bonde la msimbazi, naona Kajima wanajenga barabara kuna taxi Peugeot 404 nakumbuka mbali sana.
Enzi hizokulikuwa na"Simba Ruala" M'Nyamala Kariakoo, "Jadide" Ubungo Posta