Ubungo kariakoo

Ubungo kariakoo

Hiyo Ilikuwa bonde la msimbazi, naona Kajima wanajenga barabara kuna taxi Peugeot 404 nakumbuka mbali sana.

Enzi hizokulikuwa na"Simba Ruala" M'Nyamala Kariakoo, "Jadide" Ubungo Posta
Duu Jadide kumbe ya kitambo sana
 
Enzi hizo kila mkoa kuna kampuni ya mabasi ya serikali, Morogoro tulikuwa tunatumia MORETCO!
 
Back
Top Bottom