Ubungo kariakoo

Ubungo kariakoo

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
370,454
Reaction score
857,737
IMG-20171211-WA0102.jpg
 
Watu wa enzi hizo walifaidi walikuwa wanajipigia nyama kwa nyama hofu yao vimafua tu vya hapa na pale. Utamu umeingia sumu.
Gonjwa kubwa kisonono na nduguye kaswende, tiba yake dawa za rangi mbili... Njano na nyekundu... Ziliitwa tetracycline... 4×1, kisha 2×3 kwa siku NNE maliza kabisa tatizo
 
Na misambwanda FAKE ya mchina. Hakukuwa na mafisadi, wezi, wahuni na wauaji kwenye chama tawala na Serikali.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chama cha KWICHI KWICHI HATARI [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom