Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,349
Umeenda wapi?yaelekea umri wako umeenda
Umeenda wapi?yaelekea umri wako umeenda
afu wewe bana mamba yakoHata vibamia havikuwepo enzi hiyo.
Aah,wapi!wakati ule wanaume wa ukweli walikuwa dar tu,mpaka Moro wakachimba bahari pafananie kidogoEnzi hizo wanaume wa dar walikua sawa na wa mikoani



Mkuu hakuna kitu, yani kipnd hcho ndo kidogoo mlikua mna jitahidi ukakamavu,sikuizi mnakula mpaka vumbi la ikwiririAah,wapi!wakati ule wanaume wa ukweli walikuwa dar tu,mpaka Moro wakachimba bahari pafananie kidogo![]()
Mkuu,tuheshimiane tafadhali. Huko nimehama baada ya vita vya kagera. Bahari ilikuwa na samaki wakutosha kabisa,mpunga tunalima sinza.Mkuu hakuna kitu, yani kipnd hcho ndo kidogoo mlikua mna jitahidi ukakamavu,sikuizi mnakula mpaka vumbi la ikwiriri
umekuwa mama hakuna mtoto anayejua Enzi za mikate ya siha na ice cream Avalon.Umeenda wapi?
Hiyo Ilikuwa bonde la msimbazi, naona Kajima wanajenga barabara kuna taxi Peugeot 404 nakumbuka mbali sana.
Enzi hizokulikuwa na"Simba Ruala" M'Nyamala Kariakoo, "Jadide" Ubungo Posta
stendi yake kipindi icho mnazi mmoja nafikiri
Enzi hizo kila mkoa kuna kampuni ya mabasi ya serikali, Morogoro tulikuwa tunatumia MORETCO!
Alafu inawezekana ubungo kwenda kariakoo ilikuwa mbali sana wakati huo naona na barabara ilikuwa ya moramu.Kweli mlifaidi sana enzi hizo so natural,chai ya maziwa ikiwa inatoka kwenye mabomba UDSM na Nyama za makopo za Tanganyika Perkers.
dua la mnyongekuna basi lilikua linaenda posta liliitwa dau la mnyonge
Duu Jadide kumbe ya kitambo sana
Duu Jadide kumbe ya kitambo sana