Ubunge wa Tundu Lissu usitishwe

Ubunge wa Tundu Lissu usitishwe

Kwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.

Mtafute aliyemdungua kwanza ndipo uje
 
Mkuu kwa maoni kama haya, kwa nini uraia wako usisitishwe pia?

Mtani huyo siyo Mtanzania,maana watanzania hatuna hulka za kuchukiana mpaka kutakiana kifo.Na mbaya zaidi ni komredi mwenzako.Pole sana hawa ndiyo wanaotufanya tuichukie CCM zaidi kuliko hata huko nyuma.
 
Kwanza unatakiwa ujue sheria hakuna sheria inayompa mamlaka mtu yeyote kutengua ubunge wa mbunge bila sababu za msingi hzo ulizozitoa wew sio sababu za kutenguliwa ubunge na kwa taarifa yako mungu anamlinda tundu LISSU na hzo chuki zako wala hazimfikii na hazinfanyi chochote kwahyo ninaimani utaumia sana na hzo chuki zako ila kwa maoni yangu ungefanya mambo mengine hili la tundu lissu ukaliacha kama lilivyo maana hzo chuki zako hazimfanyi kitu
 
Siwezi kukosa sifa za kuwa Mtanzania kwani kizazi changu kinaweza kuthibitisha kimaandishi tangu mwaka 1890 wengi wenu ni Watanzania tangu siku mliozaliwa tu lkn hkn kumbukumbu yoyote ile popote pale kimaandishi kabla ya hapo!
Acha kuongea uongo hapa ndio maana TRUMP anatutukana ,kwa system gani iliyopo nchini inayotunza hizo kumbukumbu?tunaishi kwenye nchi unaweza kuoa Bukoba na ukaja Mtwara ukaoa tena!,tunaishi kwenye nchi unajiita ALI pale Tanga ukihamia Mbeya unabadilisha na kujiita Mwakasege!,sharia zipo zinazohusiana na issue kama hii ya Mh.LISU,soma sharia za BUNGE kabla ya kutoa uzi kama huu.
 
Kwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Maoni ya kijinga kutoka kwa mwanaccm mjinga kama kichwa chake. Akina Ndugai waliougua mwaka walichishwa ubunge. Lisu kapigwa risasi na Bashite wala siyo ugonjwa wa kawaida. Soma sheria ya kazi inasemaje. Inaonekana ujawahi kufanya kz zaidi ya kupiga domo kwa kupewa kofia na wali
 
Mtani huyo siyo Mtanzania,maana watanzania hatuna hulka za kuchukiana mpaka kutakiana kifo.Na mbaya zaidi ni komredi mwenzako.Pole sana hawa ndiyo wanaotufanya tuichukie CCM zaidi kuliko hata huko nyuma.
Mkuu mimi ni kada wa CCM , na Mtanzania ninaye elewa maana ya Utaifa.
Wegine hawaelewi kuwa Taifa ni pamoja na vyama vingine , ndiyo maana nampinga huyu mtu maana anaelekea hana asili ya Utanzania, na hivyo kutilia mashaka uhalali wa uraia wake.
Hayo mawazo ananyotoa huyu komredi, hayaonyeshi sura ya uCCM ni ya kwake, hivyo usiuchukie mti kwa tunda moja lililo oza.
 
Mkuu mimi ni kada wa CCM , na Mtanzania ninaye elewa maana ya Utaifa.
Wegine hawaelewi kuwa Taifa ni pamoja na vyama vingine , ndiyo maana nampinga huyu mtu maana anaelekea hana asili ya Utanzania, na hivyo kutilia mashaka uhalali wa uraia wake.
Hayo mawazo ananyotoa huyu komredi, hayaonyeshi sura ya uCCM ni ya kwake, hivyo usiuchukie mti kwa tunda moja lililo oza.

Rafiki,unajua CCM imeumiza watu wengi sana,siri za CCM zipo ndani ya vifua vya watu,acha tuendelee kupendana kama ndugu lakini wanachama wa CCM lazima muiondoe hulka ya watawala kunyanyasa watanzania wa aina yoyote ndipo tutapata maendeleo na uhuru wa kweli.

UTAIFA kwanza mtani haya mengine ni baada ya habari kuu UTAIFA
 
Mnajadili Mada ya mtu ambaye alishatoweka duniani Kwa kunywa sumu tangu 05/01/2018
 
Ujinga wa kuandika huwa ni noma kwa sababu unaishi muda mrefu boira wa kutamka.
 
Kwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Jamaa anafanya mazoezi tu huku nyuma watu presha, unawashiwa nn wakati we si mpigakura wake.
 
Kwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.

Hii tabu ya kujua kusoma na kuandika na kutokuwa na AKILI YA KUFIKIRI NI TABU SANA, mtu kwa makusudi apigwe RISASI, then SERIKALI ishidwe kutambua waliofanya hilo kwa muda wa Zaidi ya miezi MINNE, then HOPELESS ww unakuja na hoja ya kijinga hivi, so SAD, by the way utakuwa kama MSIBA
 
Hovyo

Usitishwe wewe ndio ulimpigia kura????

Halafu wewe si ulisema uta-RIP??? Umeghairi????
 
Kwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Shithole...!
 
Back
Top Bottom