Aniko
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 1,766
- 960
Sasa wanasubiri nini si wamvue huo Ubunge?kama wameweza kumtandika risasi zaidi ya thelathini hili wanashindwa vipi?Well saidi
Sasa wanasubiri nini si wamvue huo Ubunge?kama wameweza kumtandika risasi zaidi ya thelathini hili wanashindwa vipi?Well saidi
wewe ndo msemaji wa watu wa singida???????Kwa maoni yangu Tundu Lisdu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Ukiangalia maoni ya watu wengine utaona jinsi sisi watanzania tunachagia watu wengine wa mataifa ya magharibii watudharau sisi waafrika kwa ujumla. Lissu anaumwa na amepigwa risasi akiwa kazini, serikali imeshindwa kumuhudumia mpaka sasa watuwanaomthamini wanatembeza mabakuli kumuhudumia. ... Wewe badala ya kuwaambia hao mabwana zako wamuhudumie huyo unayesema mbunge wako. Halafu waambie hao mabwana zako wabadilishe katiba kwamba mbunge akiiumwa muda mrefu /au akiisema na kuikosoa serikali afukuzwe ili tujue kwamba kazi ya mbunge iwe ni kumsifu rais na kuisifu serikali kwa lolote inavyofanya .Kwa maoni yangu Tundu Lisdu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Unaweza kuthibitisha kwakuwa upo kwenye kundi la wapuuzi? Kwani yule askofu mnayemuandama hawezi kuthibitisha? Kwani jen. Ulimwengu hakuwa raia? Mbona aliandamwa na kusakamwa? Unamkumbuka babwa wewe? Kweli hakua raia? Mbona aliandamwa. Suala sio kuthibitisha uraia. Swala ni unatokea kundi gani ? Na ndio maana yule aliyejiita usalama kule arusha aliachiliwa bila masharti angekuwa lisu si ungesema anyongwe weweMimi ninaweza kuthibitisha uwepo wa kizazi changu hapa ardhi hii tuiitayo JMTZ kuanzia mwaka 1890, na hii ni kimaandishi kabisa na siyo kimaneno kuanzia Mababu na Bibi pande zote mbili!
Kwa maoni yangu Tundu Lisdu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Kwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
mnatapatapa!Kwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
AminaView attachment 677463
Uishi maisha marefu ili uendelee kuumia zaidi na chuki dhidi ya Lisu
Msamehe bule kasema kwa maoni yake sio kwa mujibu wa sheria,Barbarosa, zamani kulikuwa na kitu kinaitwa reverse call. Yaani mpigiwa ndio analipa.
Nikichukua mfumo huo nikauweka kwenye mfumo wa namna binadamu anafikiri naamini kuna mtu kashikilia akili zako kakuachia kidogo tu za kubeep
Hebu toa sababu za msingi kama ni ugonjwa kuna waziri yupo likizo miezi mitatu sijui nae atafukuzwa ubunge, kuna hata kiongozi wa Bunge alikua mgonjwa hakuvuliwa.
Na bado wapo wengine wagonjwa hawaendi kwenye vikao lakini......
Tupe vifungu ulivyotumia kumhukumu Lisu avuliwe ubunge.
Toilet paper kazi yake ni moja tu.
Tukiacha maoni yako sheria inasemaje?Kwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Ndo maana siku zote naunga mkono kauli za Trump kuhusu hili bara letu.Kwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Unajua wakati mwingine ni vyema ukanywa chai kwanza kabla hujatoa post.Kwa maoni yangu Tundu Lissu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Barbosa kuhusu hiki ulichokipost, unasemaje? Maana uliapa kunywa sumu? Vip ulionja hata kidogo?View attachment 677463
Uishi maisha marefu ili uendelee kuumia zaidi na chuki dhidi ya Lisu
Usijitetee sana kwani wengi tunakujua ulikotokea. Yaani ninyi warundi msituchafulie taifa letu kwani ni mazoea yenu ya kuishi kivurugu. Hasa wewe na hilo kundi lako anzeni kujikusanya mrudi kwenu vinginevyo nitakulipueni humu wewe na mtandao wako.Mimi ninaweza kuthibitisha uwepo wa kizazi changu hapa ardhi hii tuiitayo JMTZ kuanzia mwaka 1890, na hii ni kimaandishi kabisa na siyo kimaneno kuanzia Mababu na Bibi pande zote mbili!