Ubunge wa Tundu Lissu usitishwe

Ubunge wa Tundu Lissu usitishwe

TLisu mtetezi wa wTanzania ,msemaji wa wTanzania na mbunge pia ni tegemeo letu hapa singida tulimchagua wenyewe tutaendelea kumchagua
 
Kwa maoni yangu Tundu Lisu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti!
HAMNA JIPYA HAPA..
 
ni mgonjwa lakini anakunyima usingizi.akipona akiwa mzima inaonekana atakula unashidwa
 
Kwa maoni yangu Tundu Lisu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti!
Aisee...
Trump Trump Trump......
 
Al-badil at work
Watu wasiojulikana wameamza kujulikana
Hivi Dege alotudanganya LISSU limekamatwa vipi lishatua BONGO?
kama ndio likowapi?
Kama bado kwa nini?
 
Kwa maoni yangu Tundu Lisu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti!
Sawa ni maoni yako, lakini kabla ya kutoa hayo maoni yako ya kijinga ungeangalia katiba inasemaje kuhusu mbunge kupoteza sifa ya kuwa mbunge. Chuki yako kwa Lisu siyo kigezo cha yeye kupoteza sifa za kuwa mbunge.
 
Kwa maoni yangu Tundu Lisu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti!

Haumwi homa mkuu,
Mfanyakazi kiwandani aki umia kazini hawezi kufukuzwa kazi,
Sio haki kumchagua mwingine.
 
Kwa maoni yangu Tundu Lisu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti!

Usaliti wa Lissu uko wapi? Kufumua madudu ambayo ni ya kweli ndito msaliti? Lissu ndiye aliyesaini mikataba mibovu iliyosababisha tuibiwe madini? Isitoshe alipiga kelele sana tena mwaka 47 kuhusu hilo na serikali ya CCM ilikaa kimya.

Leo serikali ya CCM inagundua kweli mikataba mibovu na tunaibiwa. Makinikia yamekamatwa. Lissu katahadharisha kuwa tusifanye hivyo tuanze na mikataba kwanza. Alitahadharisha kuwa kwa mikataba hii tutashitakiwa na tutashindwa kesi. Leo hii acaacia wameenda mahakamani hatujui hatima ya hiyo kesi.

Tumeambiwa kuwa barrick wamekubali kulipa lakini acacia wamegoma kulipa au wamelipa mkuu? Lissu katushitua ndege imekamatwa canada akaitwa muongo. Lakini hiyo ndege hadi leo hatujaambiwa kama imeachiwa.

Je Lissu ndiye alivunja ule mkataba uliosababisha ndege kukamatwa? Kosa lake hapo lipi? Je rushwa imeisha? Je mafisadi wameisha? Je wanyonge tunafaidi mema ya nchi? Je elimu ni bure kweli shule za msingi hadi sekondari?

Kosa la Lissu liko wapi? Lissu ataendelea kuwa Mbunge kwa vile kachaguliwa kihalali na wananchi wake. Tatizo ni kuwa watanzania wengi huwa hawapendi kuambiwa ukweli.
 
Kwa hiyo mlitaka kumuuwa mmeshidw sasa mnataka muanze propaganda za eti hana sifa..mbona wee unakula nyumbani miaka yote hawajakufkuza kwenu miaka 39 sasa hivi.
 
Kwa maoni yangu Tundu Lisdu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Kila LISU anavyoendelea kuimarika kiafya nahisi kunawatu nao wanaaza kuugua
 
Katiba inasema mbunge akiugua ubunge wake anaupoteza? Au mna mihemuko kisiasa mbn mwakyembe akupoteza ubunge alipokuwa mgojwa au mmesahau?
 
Kwa maoni yangu Tundu Lisdu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.

"mwema"?? Hebu niambie msaliti ni nani kati ya wale wanaotaka kutupa ukweli na ambao wanauficha ukweli kwa mtutu wa bunduki? Hebu niambie msaliti ni nani kati wale wanaotorosha na kuua watanzania kama ngedere wa shamba la mahindi yao huku wakijificha kwenye wasiojulikana!

Niambie vilevile ni utawaita nani wanaoshambulia raia kwa risasi na hawataki upelelezi wowote ufanyike aidha na vyombo vya ndani au vya nje! Niambie utawaita nani wale wanafunga watz kwenye viroba na kuwatupa baharini ni na mto ruvu. Hebu niambie Ben Saanane yuko wapi baada ya kuhoji elimu ya mwenyekiti wako! Tuambie vile vile yule mwandishi wa mwananchi yuko wapi alipoanza kufuatilia mauaji ya kibiti ambao tunajua dola imefanya maangamizi ya kutisha! Tuambie ni kina nani walitoa amri ya kuondoa walinzi area D katika makazi ya viongozi wa serikali wakati wa shambulio la LIssu. Tuambie vile vile zile kamera za CCTV zilizonasa wale wauaji ziko wapi?

Nikuambie kitu:
Unachopigia debe sasa ni mauaji kuendelea na kuwaambia watanzania waendelee kuwa dhalili mbele viongozi wao(vinyago wanavyotengeneza wenyewe).

Unachopigia debe ni kuendelea kuficha waovu waliojificha ndani ya dola wakijiita "wasiojulikana" ili waendelee kutuwinda kama ngedere.

Unachopigania ni giza dhidi ya mwanga ambao watu kama Lissu wameamua kuupigania kwa kujitoa muhanga!

Umemuita "msaliti" Hivi wewe ukiendelea kupigwa na kuumizwa na babako nyumbani utajificha useme majirani wasijue? Ni mara ngapi tumevamia nyumba za jirani kutoa watoto wanaonyanyaswa na wengine kufungwa minyororo hadi tunawafikisha polisi?

Lissu amepata bahati ya kuwaeleza Dunia kuwa tunapigwa, tunauawa, tunapotezwa na hakuna anayekamatwa wala kuwajibishwa. Hata hawataki majirani watusaidie. Lissu ni mzalendo namba moja wa Nchi hii.

Nyie wengine kwa kujua au kutojua ni vibaraka wa watesi wetu, Ni makuwadi wa utesaji wetu na wengine ndio mbwa wanaotumwa kututesa!! Dunia/majirani kujua ndiyo pona yetu!! Hongera Tundu Antipas Lissu. Tz Hero of all centuries!!
 
Kwa maoni yangu Tundu Lisdu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Muzee wa k100 au kwa jina lingine shithole wa lumumba,ccm kumejaa wagonjwa kina maji marefu na wengineo wanakaa miaka bila kufika bungeni hawaulizwi...wewe lazma lissu alikupakata akakupa malipo kiduchu yani unamwogopa lissu kuliko mwenyekiti wenu
 
Kwa maoni yangu Tundu Lisdu amepoteza sifa za kuendelea kuwa Mbunge wa Bunge letu la JMTZ hivyo ingekuwa jambo la busara kama Ubunge wake ungekoma mara moja, watu wa Singida wanastahili mtu mwema na siyo Msaliti.
Ndugu yang ndio ni maoni yako ila sasa nikulizee swali!!kawasaliti kivip?
 
Back
Top Bottom