mtayeshelwa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,170
- 390
Hata chizi hawezi kuwaza hivi.Kwa hiyo Magufuli ndio basi tena
Hata chizi hawezi kuwaza hivi.Kwa hiyo Magufuli ndio basi tena
unapigilia jibu mstari....Kwa hiyo Magufuli ndio basi tena
Chief swali lako zuri ila concern yangu hili ni muvi ngoja tulitazame majibu tutapata mwishoni kkMwanasheria Emmanuel Mwasonga amemuwekea pingamizi mgombea ubunge jimbo la Njombe mjini bwana Deodatus. Mwanyika ambae amepitishwa na chama chake kugombea ubunge huku mwezi wa 7 alipatikana na hatia ya utakatishaji pesa na uhujumu uchumi.
Najiuliza hadi CCM wanampitisha Mwanyika hawakujua kama ni mtu ambae hafai kugombea kulingana na sheria za Tanzania?
Deo Mwanyika of Bulyanhulu convicted of Tax EvasionHilo pingamizi halina mashiko kisheria. Document ya msingi kabisa ni HUKUMU tu. Kosa lililomo kwenye judgement ni kuisababishia serikali hasara. Siyo kukwepa kodi. Kwa hukumu hii Deo Mwanyika hana kizuizi kikatiba na kisheria kugombea cheo cha umma.
Kisheria pingamizi hilo halina miguu. Litaanguka mwanguko wa mende.
By Adv....
hakika,tunaweza kuwekewa pingamiziHivi ilikuwa 1.5b au 1.5m?? Tuwe makini na maandishi.
Pasco ni bush lawyer tu.Wanasheria kujeni huku haraka!
cc: Pascal Mayalla
Hilo pingamizi halina mashiko kisheria. Document ya msingi kabisa ni HUKUMU tu.
1. Kosa lililomo kwenye judgement ni kuisababishia serikali hasara. Siyo kukwepa kodi.
2. Hakupata adhabu na mahakama ya kwenda jela miezi 6 au zaidi.
Note well: Kwa hukumu hii Deo Mwanyika hana kizuizi kikatiba na kisheria kugombea cheo cha umma.
Kisheria pingamizi hilo halina miguu. Litaanguka mwanguko wa mende.
By Adv....
Fyeka fyeka ya wajumbe iliwapagawisha wakaanza pitisha pitisha watu hovyo tu. 😂 😂 😂 😂Mwanasheria Emmanuel Mwasonga amemuwekea pingamizi mgombea ubunge jimbo la Njombe mjini bwana Deodatus. Mwanyika ambae amepitishwa na chama chake kugombea ubunge huku mwezi wa 7 alipatikana na hatia ya utakatishaji pesa na uhujumu uchumi.
Najiuliza hadi CCM wanampitisha Mwanyika hawakujua kama ni mtu ambae hafai kugombea kulingana na sheria za Tanzania?
Pascal nataka atasoma kwa mbaali tu,haandiki kabisa hapo.Wanasheria kujeni huku haraka!
cc: Pascal Mayalla
Naam ni upuuzi kama huo wa tume ulisababisha Kifo cha Akwilina. Mkurugenzi anafunga ofisi na kufanya atakavyo, alafu hafanywi kitu etiUchaguzi huu ukiisha tume inapaswa kutafakari sana na kufanyia marekebisho kasoro nyingi zilizojitokeza.
Nikiyaona haya yanayotokea namkumbuka sana Judge Malaba.
🤣 muombeni Amsterdam aje awasaidie hii kesiWanasheria kujeni huku haraka!
cc: Pascal Mayalla
Tueleze pia kisheria nini maana ya faini ya sh milioni moja au kifungo Cha miezi 6.Hilo pingamizi halina mashiko kisheria. Document ya msingi kabisa ni HUKUMU tu.
1. Kosa lililomo kwenye judgement ni kuisababishia serikali hasara. Siyo kukwepa kodi.
2. Hakupata adhabu na mahakama ya kwenda jela miezi 6 au zaidi.
Note well: Kwa hukumu hii Deo Mwanyika hana kizuizi kikatiba na kisheria kugombea cheo cha umma.
Kisheria pingamizi hilo halina miguu. Litaanguka mwanguko wa mende.
By Adv....
Jirani upoWanasheria kujeni huku haraka!
cc: Pascal Mayalla
Paramagamba nikimuangalia huwa siishi kuchekaMchimba kaburi kaingia mwenyewe huku Magufuli kakosea kujaza fomu huku jamaa kakwepa kodi ila Paramagamba kabudi ulichomfanyia Magufuli kukosea kujaza fomu Mungu anakuona
The Kisutu Resident Magistrate Court has today ordered the Pangea, North Mara Exploration and Bulyanhulu Gold Mines President Deodatus Mwanyika (56) and his co-accused to pay compesation of Sh 1.5billion after they were found guilty of tax evasion.Hivi ilikuwa 1.5b au 1.5m?? Tuwe makini na maandishi.