Uchaguzi 2020 Ubunge Njombe Mjini; Emmanuel Masonga amuwekea pingamizi Deodatus Mwanyika baada ya kukiri kosa la jinai

Hilo ni pingamizi lenye mashiko. Mlete thread fatilia alaf tuletee mlejesho, kitakachoamuliwa
 
Au sio
20200826_194139.jpg
 
Mwanasheria Emmanuel Mwasonga amemuwekea pingamizi mgombea ubunge jimbo la Njombe mjini bwana Deodatus. Mwanyika ambae amepitishwa na chama chake kugombea ubunge huku mwezi wa 7 alipatikana na hatia ya utakatishaji pesa na uhujumu uchumi.

Najiuliza hadi CCM wanampitisha Mwanyika hawakujua kama ni mtu ambae hafai kugombea kulingana na sheria za Tanzania?
Chief swali lako zuri ila concern yangu hili ni muvi ngoja tulitazame majibu tutapata mwishoni kk
 
Hilo pingamizi halina mashiko kisheria. Document ya msingi kabisa ni HUKUMU tu. Kosa lililomo kwenye judgement ni kuisababishia serikali hasara. Siyo kukwepa kodi. Kwa hukumu hii Deo Mwanyika hana kizuizi kikatiba na kisheria kugombea cheo cha umma.
Kisheria pingamizi hilo halina miguu. Litaanguka mwanguko wa mende.
By Adv....
Deo Mwanyika of Bulyanhulu convicted of Tax Evasion
 
Duuuu mwanasheria tunaomba utujuze vizuri. Aliitia hasara serikali kwa kufanya embezzlement kwenye public funds au kwa kufanya nini???. Ninachofahamu huyo alikuwa CEO wa migodi ambayo serikali haikupata stahiki yake katika kodi. Pamoja na mambo mengine jamaa alipigwa money laundering lakini msingi wake ni tax evasion kama predicate offence kulingana na sheria ya utakatishaji fedha. Please hebu tuelimishe kidogo
Hilo pingamizi halina mashiko kisheria. Document ya msingi kabisa ni HUKUMU tu.
1. Kosa lililomo kwenye judgement ni kuisababishia serikali hasara. Siyo kukwepa kodi.
2. Hakupata adhabu na mahakama ya kwenda jela miezi 6 au zaidi.

Note well: Kwa hukumu hii Deo Mwanyika hana kizuizi kikatiba na kisheria kugombea cheo cha umma.
Kisheria pingamizi hilo halina miguu. Litaanguka mwanguko wa mende.

By Adv....
 
Mwanasheria Emmanuel Mwasonga amemuwekea pingamizi mgombea ubunge jimbo la Njombe mjini bwana Deodatus. Mwanyika ambae amepitishwa na chama chake kugombea ubunge huku mwezi wa 7 alipatikana na hatia ya utakatishaji pesa na uhujumu uchumi.

Najiuliza hadi CCM wanampitisha Mwanyika hawakujua kama ni mtu ambae hafai kugombea kulingana na sheria za Tanzania?
Fyeka fyeka ya wajumbe iliwapagawisha wakaanza pitisha pitisha watu hovyo tu. 😂 😂 😂 😂
 
Uchaguzi huu ukiisha tume inapaswa kutafakari sana na kufanyia marekebisho kasoro nyingi zilizojitokeza.

Nikiyaona haya yanayotokea namkumbuka sana Judge Malaba.
Naam ni upuuzi kama huo wa tume ulisababisha Kifo cha Akwilina. Mkurugenzi anafunga ofisi na kufanya atakavyo, alafu hafanywi kitu eti
 
Hilo pingamizi halina mashiko kisheria. Document ya msingi kabisa ni HUKUMU tu.
1. Kosa lililomo kwenye judgement ni kuisababishia serikali hasara. Siyo kukwepa kodi.
2. Hakupata adhabu na mahakama ya kwenda jela miezi 6 au zaidi.

Note well: Kwa hukumu hii Deo Mwanyika hana kizuizi kikatiba na kisheria kugombea cheo cha umma.
Kisheria pingamizi hilo halina miguu. Litaanguka mwanguko wa mende.

By Adv....
Tueleze pia kisheria nini maana ya faini ya sh milioni moja au kifungo Cha miezi 6.
 
Hivi ilikuwa 1.5b au 1.5m?? Tuwe makini na maandishi.
The Kisutu Resident Magistrate Court has today ordered the Pangea, North Mara Exploration and Bulyanhulu Gold Mines President Deodatus Mwanyika (56) and his co-accused to pay compesation of Sh 1.5billion after they were found guilty of tax evasion.

The court also ordered the trio to pay an additional fine of Sh1.5 million fines or serve a jail term of four months.

The Resident magistrate Godfrey Isaya arrived at the decision after the accused pleaded guilty through a plea bargain arrangement at the office of the DPP.

Others also convicted alongside Mr Mwanyika on economic crimes charges number 37 of 2018 included Bulyanhulu Corporate affairs manager, Alex Lugendo (43) and the managing director of Pangea, North Mara and Bulyanhulu mines, Assa Mwaipopo (57).

Before the judgment was reach the state led by Paul Kadushi , Shadrack Kimaro and Wankyo Simon, claimed the case had come for judgment after the accused entered a guilty plea with the Director of Public Prosecution.

Out of the 39 charges, the accused faced one charge of not paying taxes worth $9,309,600 to the Tanzania Revenue authority

Source: The Citizen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom