Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,707
- 6,628
Hapo sheria ifuate mkondo wake
Hakuna kuwaachia wapite hivi hivi,Wakimwacha agombee, basi vyama vya upinzani viache CCM wafanye uchaguzi wenyewe.
Mkuu huyo Judge alifanya nini?Uchaguzi huu ukiisha tume inapaswa kutafakari sana na kufanyia marekebisho kasoro nyingi zilizojitokeza.
Nikiyaona haya yanayotokea namkumbuka sana Judge Malaba.
Huyu alikuwa mkurugenzi kwenye tume ya uchaguzi 2015 kabla hajaondolewa na JK dakika za mwisho kabisa za uteuzi wagombea kwa kuteuliwa kuwa Judge.Mkuu huyo Judge alifanya nini?
Ili upinzani upate niniWakimwacha agombee, basi vyama vya upinzani viache CCM wafanye uchaguzi wenyewe.
Ahahhhadah huu mwaka huu
Hàhahahaha Hapana, hàki itendeke tuHakuna kuwaachia wapite hivi hivi,
Cha msingi tume ifanye maridhiano,chadema na ccm wote wagombee
Mtu mwizi jambazi halafu anapitishwaaaMwanasheria Emmanuel Mwasonga amemuwekea pingamizi mgombea ubunge jimbo la Njombe mjini bwana Deodatus. Mwanyika ambae amepitishwa na chama chake kugombea ubunge huku mwezi wa 7 alipatikana na hatia ya utakatishaji pesa na uhujumu uchumi.
Najiuliza hadi CCM wanampitisha Mwanyika hawakujua kama ni mtu ambae hafai kugombea kulingana na sheria za Tanzania?
too little too late.Wanasheria kujeni huku haraka!
cc: Pascal Mayalla
Ili upinzani upate nini
Wafanye maridhianoHii mbombo kuna aliyeichokoza. Kwa hakika hii mbombo ni nkafu.
Ushauri wa bure CCM ombeni poo. Watanzania ni wenye kusamehe na kupenda maridhiano.
Shupaza yenu ya shingo imetuacha hoi wengi kwa muda mrefu.
Hata hivyo chelewa ufike.
Hiiiii bagosha!
Kwa hiyo Magufuli ndio basi tenaMchimba kaburi kaingia mwenyewe huku magu kakosea kujaza fomu huku jamaa kakwepa kodi ila paramagamba kabudi ulichomfanyia magufuli kukosea kujaza fomu Mungu anakuona
Yuko Kawe kwenye uzinduzi wa kampeniWanasheria kujeni huku haraka!
cc: Pascal Mayalla