Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,489
Tangazo kuonyeshwa haimaanishi kwamba eti nchi zote hilo tangazo linapoonekana hio bidhaa ipo.![]()
![]()
Tangazo za tecno UK hili hapa anayesema tecno ni ya africa tu
ploudly ngosha![]()
mfano ukiangalia dstv league ya uingereza kuna matangazo ya etisalat, je Tanzania kuna etisalat? kenya kuna etisalat? si ipo Nigeria?
Tecno wana mkataba na man city hivyo tangazo lao litaonyeshwa lakini haimaanishi zinauzwa ulaya.
na siku akizindua tu simu official huko kina Nokia, Ericson, Microsoft etc wanagonga hodi watataka hela zao,

