Ubinafisishaji wa Bandari zetu Muendeshaji atapata faida kubwa kuliko Serikali

The Burning Spear

JF-Expert Member
Dec 23, 2011
3,445
8,300
Sijui nitumie lugha gani ili wote muelewa. Kiufupi ni kwamba ukibinafisha wowote ule muendeshaji anapata faida kubwa zaidi ya mwenye Mali hasa tunapoongelea sekta nyeti kama bandari

Uwezekano wa mwenye mali kuambulia 10% ya makusanyo yote ni kawaida sana.. waendeshaji wengi ni wahuni watakuletea hesabu za uongo uongo kukuonyesha wanapata hasara nyingi kuliko faida.

Ukizingatia Mkataba huu DPW Hatakiwi kuingiliwa popote bora hata TICS, yaani tutapoteza hela nyingi mno. Kiufupi bandari yetu inaenda kutajirisha mataifa mengine ya waarabu

Kwa mtu aliyewahi kufanya kazi private sector atakunaliana na mimi..hawa jamaa wanapata hela nyingi sana huku serikali ikiambulia marupurupu tu ujanja ni mwingi sana.

Kuhusu kujengeana uwezo wataalamu wa ndani hilo ni uongo wa mchana kweupe..Tafuta Watz wenye nafasi za juu kwenye mashirika binafsi yenye miaka 20+ hukuti wachache sana mara zote wanapewa wageni tu...

Hata wanaopewa uzoefu watafika mahali watastaafu mnaanza upya ukizingatia mkataba hauna mda


KATAA UUZWAJI WA BANDARI
 
Sijui nitumie lugha gani ili wote muelewa. Kiufupi ni kwamba ukibinafisha wowote ule muendeshaji anapata faida kubwa zaidi ya mwenye Mali hasa tunapoongelea sekta nyeti kama bandar...
Ndio hayo mambo hatuyataki watu wa nje watapata faida kwenda kuwekeza kwao/capital transfer @@alafu mijitu inacheka cheka tu. Ni mara kumi uwape wazawa mitaji ibaki hapa kwetu
 
20230821_133249.jpg
 
Sijui nitumie lugha gani ili wote muelewa. Kiufupi ni kwamba ukibinafisha wowote ule muendeshaji anapata faida kubwa zaidi ya mwenye Mali hasa tunapoongelea sekta nyeti kama bandari

Uwezekano wa mwenye mali kuambulia 10% ya makusanyo yote ni kawaida sana.. waendeshaji wengi ni wahuni watakuletea hesabu za uongo uongo kukuonyesha wanapata hasara nyingi kuliko faida.

Ukizingatia Mkataba huu DPW Hatakiwi kuingiliwa popote bora hata TICS, yaani tutapoteza hela nyingi mno. Kiufupi bandari yetu inaenda kutajirisha mataifa mengine ya waarabu

Kwa mtu aliyewahi kufanya kazi private sector atakunaliana na mimi..hawa jamaa wanapata hela nyingi sana huku serikali ikiambulia marupurupu tu ujanja ni mwingi sana.

Kuhusu kujengeana uwezo wataalamu wa ndani hilo ni uongo wa mchana kweupe..Tafuta Watz wenye nafasi za juu kwenye mashirika binafsi yenye miaka 20+ hukuti wachache sana mara zote wanapewa wageni tu...

Hata wanaopewa uzoefu watafika mahali watastaafu mnaanza upya ukizingatia mkataba hauna mda


KATAA UUZWAJI WA BANDARI
Mkuu unaelimisha sikio la kufa!

Kwani uwekezaji wa madini si ni hivyo hivyo tu?

Wanavuna na kutuachia mashimo bila ya serikali kupata lolote la maana, tena angalao Magufuli alipotunisha misuli ndiyo kidoooogo!
 
Back
Top Bottom