Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Halafu kuna mtu anategemea watalii waje!
Yaani watalii wanatoka hukohuko Marekani....!!! Utawala huu wa Jiwe unachekesha kweri-kweri!
Halafu kuna mtu anategemea watalii waje!
Kama wewe na familia yako hamjaambukizwa au kupata vifo kwenye ukoo wenu, vivyo hivyo WaTz wengine nao wako hivyo.
Kuendelea kushabikia kutaka Serikali itoe takwimu za maambukizi ni kama unaomba dua WaTz wafe ili lengo lako litimie, siyo. Nami nakuombea upate wewe kwanza maambukizo.