Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania: Uwezekano wa kupata Corona Dar ni mkubwa

Leo 2-6-2020 ubalozi huo wa MAREKANI kwanza wamelaani kifo cha Floyd then WAmetoa tahadhari kwa raia wao na wamesema kwamba Corona ipo Bongo na waendelee kurudi kwao Marekani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…