Ubakaji JKT(mafunzoni)

Ubakaji JKT(mafunzoni)

Status
Not open for further replies.
Tatizo hapa sio wanajeshi bali mabinti zetu wenyewe kupenda maisha rahisi bila kutoa jasho. Kumbuka hao wanaodaiwa kufanyiwa hayo ni watu wazima wasomi ambao kwa umri na elimu yao wanafahamu wanafahamu nini wanafanya. Tunayashuhudia yanayo pita haya kwenye taasisi za elimu hasa vyuoni, maofisini, ajira hata uongozi mbalimbali za kitaifa, kimataifa na taasi za kisiasa. Wanawake asilimia kubwa wamefika hapo walipo (nyadhifa) kutokana na vitendo hivi unavoita ubakaji. Hapa wa kuonea huruma na kusaidia ni mabinti wa shule ambao hawajui wafanyalo kutokana na uchanga wa akili yao. Nyie mtakuwa mashaidi ni wangapi tumewaona wakiji chekeshachekesha na kujipitishapitisha kwa waadhiri vyuoni au waajiri maofisini? Kama Elimu haitaweza kumkomboa mwanamke, ni dhahiri vifaru, mizinga na makombora havtaweza pia. Somo la kujitambua linakupa Phd. Mengine yote ni mbwembwe.
 
Tatizo hapa sio wanajeshi bali mabinti zetu wenyewe kupenda maisha rahisi bila kutoa jasho. Kumbuka hao wanaodaiwa kufanyiwa hayo ni watu wazima wasomi ambao kwa umri na elimu yao wanafahamu wanafahamu nini wanafanya. Tunayashuhudia yanayo pita haya kwenye taasisi za elimu hasa vyuoni, maofisini, ajira hata uongozi mbalimbali za kitaifa, kimataifa na taasi za kisiasa. Wanawake asilimia kubwa wamefika
hapo walipo (nyadhifa) kutokana na vitendo hivi unavoita ubakaji. Hapa wa kuonea huruma na kusaidia ni mabinti wa shule ambao hawajui wafanyalo kutokana na uchanga wa akili yao.
Nyie mtakuwa mashaidi ni wangapi tumewaona wakiji chekeshachekesha na kujipitishapitisha
kwa waadhiri vyuoni au waajiri maofisini? Kama Elimu haitaweza kumkomboa mwanamke, ni
dhahiri vifaru, mizinga na makombora havtaweza pia. Somo la kujitambua linakupa Phd.
Mengine yote ni mbwembwe.


Mtoto wa form six unamuita mtu mzim na msomi?????

You must be heartless of the first order...no wonder tunashindwa kwenda mbele kama hii ndio thinking ya baadhi yetu!!!!!

Umeoa au kuolewa?????
Una ndugu wa kike au mtoto wa kike?????


Umewahi kwenda visiting days ukaona watoto wa kike ambao kwa siku hiyo wazazi au ndugu zake hawakufika????? Huwa wanalia kwa upweke tu wa kutowaona wazazi au ndugu!!!!! Itakuja kuwa huko machakani ambako hana wa kumuangalia wala kumuuliza hali yake????

Kama wewe ni mwanaume na baba wa familia kwa mawazo haya si mkeo wala wanao ambao wako salama kwa uangalizi wa baba kama wewe,usikurupuke kujibu kaa na utafakari kama huyo marehemu Halima (R.I.P) angekuwa ni mwanao au mdogo wako kweli ungechangia kama hivi?????!!!!!!

My take; Mashirika na Tasisi mbalimbali ya nyumbani na kimataifa tuyaombe kusikia kilio hikiTAMWA,TAWLA,WAMA,TGNP, MAMA SOPHIA SIMBA,WABUNGE WANAWAKE na sisi wengine tunaoweza kupaza sauti jui ya haya tushikamane kuangaza jambo hili

Vyama vya siasa kama kweli mko kwa ajili ya wananchi mara moja moja muwe mnashughulikia mambo kama haya,au huwa mnataka watu wakati wa kura na mikutano tu!!!!!

Mawaziri vivuli wapo???? Au wakishasoma budget baaaaas!!!!!!

It is so painful just from the imagination point leaving aside the fact that it may be true
 
JKT ni kwenda kufunzwa ubwanyenye, uvutaji bangi na upimbi tu,
Uzalendo gani wakati viongozi wenyewe si wazalendo.
Sina budi kuamini hizo taarifa kwani tumeshasikia mengi pia kwa dada zetu waendao jeshini.

Penye moshi pana moto...ni vyema hatua madhubuti zichukuliwe badala ya kupigana changa la macho.
 
Umehakiki uchunguzi wako lakini?

Ww mtoa taarifa una uhakika na habar hyo mm nmepta jkt hakuna vitu kama hvyo ugum wa mafunzo ndo unawafanya watoto wenu waropoke upumbav huu.



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nchi hii iachwe kama ilivyo
Sasa kama Jairo anapeta
Ngereja nae

Sasa angalia Askari magereza kwenye Twiga
Piliso&TISS huko huko kwenye madini
Hili nalo litapita hakuna hatua zozote.
 
Mtoto wa form six unamuita mtu mzim na msomi?????

You must be heartless of the first order...no wonder tunashindwa kwenda mbele kama hii ndio thinking ya baadhi yetu!!!!!

Umeoa au kuolewa?????
Una ndugu wa kike au mtoto wa kike?????


Umewahi kwenda visiting days ukaona watoto wa kike ambao kwa siku hiyo wazazi au ndugu zake hawakufika????? Huwa wanalia kwa upweke tu wa kutowaona wazazi au ndugu!!!!! Itakuja kuwa huko machakani ambako hana wa kumuangalia wala kumuuliza hali yake????

Kama wewe ni mwanaume na baba wa familia kwa mawazo haya si mkeo wala wanao ambao wako salama kwa uangalizi wa baba kama wewe,usikurupuke kujibu kaa na utafakari kama huyo marehemu Halima (R.I.P) angekuwa ni mwanao au mdogo wako kweli ungechangia kama hivi?????!!!!!!

My take; Mashirika na Tasisi mbalimbali ya nyumbani na kimataifa tuyaombe kusikia kilio hikiTAMWA,TAWLA,WAMA,TGNP, MAMA SOPHIA SIMBA,WABUNGE WANAWAKE na sisi wengine tunaoweza kupaza sauti jui ya haya tushikamane kuangaza jambo hili

Vyama vya siasa kama kweli mko kwa ajili ya wananchi mara moja moja muwe mnashughulikia mambo kama haya,au huwa mnataka watu wakati wa kura na mikutano tu!!!!!

Mawaziri vivuli wapo???? Au wakishasoma budget baaaaas!!!!!!

It is so painful just from the imagination point leaving aside the fact that it may be true


Mkuu nashindwa kuelewa kwa nini hawa viongozi wetu wanakua kimya kuhusiana na suala hili. Watoto wetu wanaharibika kwa kisingizio cha uzalendo. UZALENDENDO GANI WA KURAZIMISHWA? HAWA WANAOBAMBIKIZIA WATU KESI HAWAKUPITIA HUKO? Inauma sana mzazi anahangaika na mtoto wake tokea akiwa tumboni, kumlea, kumsomesha mpaka anafikia hatua ya kumaliza kidato cha sita, baada ya hapo anapelekwa kwenye mikono ambayo siyo salama.
 
Ninachojua Jeshini makruta wenyewe kwa wenyewe ndo wenye mahusiano kwa kiasi kikubwa na wale wasichana mastaa wengi wanatembea na maafande hasa wale wenye tabia mufilisi ambao pia wako wengi. Kubaka pia kupo kwa sana. Nikiwa Makutupora kuna afande aliwaomba wasichana wakamsaidie kupepeta mahindi nyumbani kwao. Ghafla wakiwa sebuleni yule askari akafunga mlango na dada mmoja alitoroka na mwingine aliyebaki akabakwa na akapiga kimya kuogopa aibu. kwa bahati nzuri hakuumizwa.
 
ni vigumu kuamini unachosema PIA
ni mambo yanayoweza kufanyika katika mkusanyiko wa watu
CHA MSINGI NI KWA WALE WENYE USHAHIDI WA HAYO WAWEKE HADHARANI ILI SHERIA IFANYE KAZI YAKE
 
Hapa hata mm namashaka makubwa kwani mtaani wanabaka sembuse kambini? Hamna haja ya kuwaambukiza magonjwa watoto na ndgu zetu na taifa la wagonjwa. Acheni hayo mafunzo.
 
Kuna habari inayovuma kua kuna wimbi kubwa la ubakaji kwenye kambi za(ya) mafunzo za(ya) JKT kwa wnafunzi waliohitimu KIDATO CHA SITA wanaojiunga kwenye kambi hizo kwa visingizio vya KUWAFUNZA UZALENDO..

Habari hii sasa sio siri tena na mbinu wanayotumia hawa wanaotoa mafunzi kwa dada zetu ni kua;asubuhi wakati bado kuna kiza kinene wanawapeleka watu kwenye mashamba ya kambini na wanawapangia maeneo kwa umbali mkubwa sana kutoka kwa mwingine,baada ya hapo watoto wakike hubakwa na kutishwa endapo watapiga kelele..

Kuna Mwanafunzi anaedaiwa kufariki Tabora baada ya kuzidiwa na mazoezi ya Jeshi, Halima Kitangilwa (20) amezikwa leo Dar,Lakini Baba yake amesema amedanganywa kuhusu chanzo cha kifo lakini ndugu zake waliokuwepo jeshini wamemwambia ukweli(Kua alibakwa hali iliyomsababishia maumivu hadi kufa), analaumu pia hajapewa ripoti ya uchunguzi wa mwili.

MY TAKE:
JKT NI SEHEMU YA KUPEWA MIMBA NA KUAMBUKIZWA MAGONJWA YA ZINAA KWA WATOTO WA KIKE KAMA WANAJESHI WETU HAWAWEZI KUBADILIKA KWA HILI BASI NI HERI WATOTO WETU WASIENDE VYUONI KULIKO KWENDA HUKO KWENYE 'MAFUNZO YA UZALENDO'..

Uzalendo? Give me a break!
 
rip mwanafunzi pinda kasema wabakwe tu. Atakae bisha na wapigwe tu
 
Ww mtoa taarifa una uhakika na habar hyo mm nmepta jkt hakuna vitu kama hvyo ugum wa mafunzo ndo unawafanya watoto wenu waropoke upumbav huu.

Ni JKT ya mwaka gani uliyokwenda wewe? wewe ndio -------- sasa kama watu wanabakwa wasiseme.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom