umbeya na uzandiki. Wewe ni msemaji wa jkt au familia?
Kufanya mapenzi holela na KUBAKA ni vitu viwili tofauti, kwani hata vyuoni kuna mapenzi holela, this is a serious issue my friend, kama ulipitia jeshi na ubakaji ulikuwa ni kitu cha kawaida ni zama za kale kwani hata pa kuongelea ulikuwa huna, angalia mabadiliko ya leoKwa sie tuliopita jesh,swala la kufanya mapenzi holela lipo kwenye kambi zote,na sio 2 Tanzania,hyo ni dunia nzima.
Ninajuta kumpeleka binti
yangu huko. Bora asingeenda jeshini, akapelekwa hata uganda kusoma
degree yake. Just imagine hizi ndiyo division one, two na three za nchi
ndiyo zinakwenda kuharibiwa hivi? Tunabaki na nini sasa katika nchi.
Oooh, my God, I wish ningeweza kumrudisha binti yangu right
today.
Kufanya mapenzi holela na KUBAKA ni vitu viwili tofauti, kwani hata vyuoni kuna mapenzi holela, this is a serious issue my friend, kama ulipitia jeshi na ubakaji ulikuwa ni kitu cha kawaida ni zama za kale kwani hata pa kuongelea ulikuwa huna, angalia mabadiliko ya leo
Taarifa hii sio ya kupuuzia, ni hatari sana kuharibu maisha ya watu kwa makusudi.
hapa ni nani mkweli?
Mkuu ktk hayo niliyopigia mstari umeniacha hoi. Anyway kila mtu ana mtazamo wake juu ya hili. Binafsi bado nasema siafiki , mbona wengi wamefanikiwa bila kupitia jkt. Unaposema juu ya ufisadi umeshawahi kujiuliza je hao wanaofanya ufisadi hawakupita jkt?
Haya mkuu nimekupata lkn msimamo wangu haujabadilika siipendi na sintaipenda jkt na sintashauri mtu aende.Mafisadi wengine wamepita JKT na wengine walikua/ni wanajeshi kabisa! Tusipokua na wananchi wenye confidence, hakuna wa kusema mbele yao!, JKT inaongeza kujiamini, bidii, ubunifu, nidhamu na uvumilivu. Hivi ni vitu muhimu sana kuwa navyo ili ufanikiwe kimaisha. Usiniulize aliefanya research hii, ni mtazamo wangu. We huipendi JKT kwa tatizo lipi?
fanya tafiti sio unakurupuka tu huku jkt kuna wazazi na walezi pia ziko idara usalama kuhakikisha vijana wako salama swala la kufariki mwanafunzi moja sio hoja je huku mtaani wamefariki wangapi hawajatangazwa?Daa ili balaa kubakana tena
basi wazitenganishe za boys na girls na kila moja inasimamiwa na jinsia
husika