Ubakaji JKT(mafunzoni)

Ubakaji JKT(mafunzoni)

Status
Not open for further replies.
Haaa unayosema yana ukweli kama wanajeshi wenyewe wa tz ni walevi na wavuta bhangi kwanini dada zetu wasibakwee..... Huo ndo uzalendo wa tanzania taifa lenye amani
 
Kama habari hizi ni za kweli basi ni utovu mkubwa wa nidhamu na scandal kubwa kwa jeshi ..........

watoto wetu wakirudi wahojiwe.wazazi tuanzishe kampeni hii na tukigundua hili lipo, nasema hivi iwe kwa amani iwe kwa fujo lazima mafunzo haya yafutwe,kama bado mtaendelea kukaa kimya na kupeleka watoto wenu huko,mimi nasema na Mwenyezi Mungu anisamehe,MLAANIWE!Mie wangu haendi hata aje Mwamunyange na kifaru,ntajua pa kumpeleka!nilishakataa siku nyingi upuuzi huu!
 
Nawezaje kuupload video humu nina clip moja ya jkt ni vizuri mkaiona its interesting
 
Eti huo ndo uzalendo!! Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo! Naapa na Mungu anisaidie mtoto wangu hatakanyaga huko kwenye kambi za shetani kwa kigezo cha kufundishwa uzalendo Mungu anisaidie katika hili. Mtoto akifundishwa maadili mema nyumbani na kuwa na hofu ya Mungu, uzalendo unakuja automatically! Leo mnataka nimlete binti yangu ninaemgaramia kwa kiasi kikubwa mje mumbake, anzeni na mabinti zenu.
Uzalendo na ubakaji wapi na wapi.!! Takataka kabisa!!
 
aisee hii ni mbaya sana..hilo zoezi ni bora wakalisitisha
 
Nawasihi dada zetu wakatae kubakwa na bora kufa kuliko kubakwa. Najua wanajeshi wengi ni vijana ambao muda wao wa kuoa haujafika (sheria zao za jeshi) hivyo wanapowaona mabinti wa form six wanaona dezo.
 
Naamini huyo marehemu alibakwa. Amekufa kwa kubakwa. Kwa nini mzazi wake asingeomba uchunguzi binafsi? ------- zao JKT na wale wote walioshabikia kurudisha huu ujinga bila kuweka sheria za kuwalinda wasichana. Mwanangu ni marufuku kwenda JKT, nitamsomesha nje ya nchi.
 
nimesikia baba wa marehem halima akilalamika kwenye kipind cha milad ayo clouds fm ni kweli ila wao wanaxema kafa kwa malaria.kuna umuhimu gan wa kwenda jeshn ikiwa hawajali afya za wanamafunzo?,ina maana serikali haioni hl? tanzania ni nchi ya watoto wa viongozi 2? tujuzane mtoto wa kiongoz gani ambae mwaka huu kaenda jkt hasa wabunge na mawaziri hata rais? jibu hakuna kabixa najua hili.sheria,uwongo dhuruma na matendo maovu ni hapa2 duniani haki mbinguni.rest in peace sister halima.Amen.

MTOTO WA MMBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI AMEHITIMU MaryGoreth na course 835KJ,her name ni J.G Ol....ye
 
Nina shemeji yenu huko jeshini kambi ya Ruvu. Huwa ananihadithia mwanzo mwisho mambo wayafanyayo huko.
Anasema kuna mabinti kama wawili so far wameshabakwa. Mbinu ambayo yeye na wenzake wanatumia ni kutembea kwa makundi.
Baada ya hawa wanajeshi kubaka wanasingizia eti ni watu wamtaani ndo wamefanya hivo. Hii nikatika kulindana

Stori ingine pia ni kua mazoez ni magumu xasa. Hivyo kunaa baadhi ya dada zetu kujipeleka wenyewe kwa wanajeshi na kugawa ili mambo yawe afueni.

ol in ol according to her ni kua wanaambiwaga kua you cannot do ol thhe excersises. Sometimes kutegea ndo inatakiwa iwe hivo :though you risk falling in the hands of hawa wanajeshi wanaojifanya ni wazalendo.
 
umbeya na uzandiki. Wewe ni msemaji wa jkt au familia?

Kwanini umtusi mtu kwa kutoa hoja nzito kama hii... Je wewe Upo kambini na unaweza kutupa ukweli zaidi ya huu?


Tafadhali sana, kuna watu wamefiwa, kama haikuhusu basi kaa kimya

------- wahed
 
Watu bwana!!! Sasa huyu mleta mada ameongea hapa bila kutoa uthibitisho wowote lakini wengi wetu tunaunga mkono kama vile tuna uhakika wa 100%. Hebu tujifunze kuhoji na kujadili hoja sio kushabikia.
 
Watu bwana!!! Sasa huyu mleta mada ameongea hapa bila kutoa uthibitisho wowote lakini wengi wetu tunaunga mkono kama vile tuna uhakika wa 100%. Hebu tujifunze kuhoji na kujadili hoja sio kushabikia.

mkuu mjasiria angalia aya(paragraph) ya tatu kama nilichoandika hakitoshi kua ushahid.?
 
Last edited by a moderator:
Kwanini umtusi mtu kwa kutoa hoja nzito kama hii... Je wewe Upo kambini na unaweza kutupa ukweli zaidi ya huu?


Tafadhali sana, kuna watu wamefiwa, kama haikuhusu basi kaa kimya

------- wahed

mkuu Janjaweed nshamsamehe,hajapatwa na hayo mambo ndio maana anaishia kuropoka tu,ngoja mtu wake wa karibu aje kuathirika na hayo mambo..
 
Last edited by a moderator:
Huko ndiko kutakuwa na ubakaji wa watoto wa kike kwa kiwango cha kutisha na wengi kuambukizwa magonjwa mbali mbali ya zinaa ikiwemo ukimwi. JKT ni unyanyasaji na upotezaji muda na imeshapitwa na wakati.

Binafsi siafiki kabisa suala la wanafunzi kupitia JKT . Hali hii ya kipuuzi/kinyama hata huko nyuma ilikuwepo sema kipindi kile magonjwa hayakua mengi. Lkn kwa nyakati hizi watoto wetu wataumia bure kisa uzalendo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom