Tutafika
JF-Expert Member
- Nov 4, 2009
- 1,443
- 636
Binafsi siafiki kabisa suala la wanafunzi kupitia JKT . Hali hii ya kipuuzi/kinyama hata huko nyuma ilikuwepo sema kipindi kile magonjwa hayakua mengi. Lkn kwa nyakati hizi watoto wetu wataumia bure kisa uzalendo.
Sasa hivi yakifanyika yatajulikana na yataisha kwasababu ya tekinologia ya mawasiliano kupanuka! JKT ni muhimu sana tena hata mgambo ifufuliwe na iwe lazima kwa vijana wote ili tuwe na taifa lenye watu wanaojiamini wenye utaifa ndani yao! Ndio tutaweza hata kupambana na ufisadi na umasikini! Je unajua kwamba mtu akitoka JKT anakua ameongezeka kiwango cha kujiamini? Umeshawahi kuona mtu asiejiamini aliefanikiwa kimaisha? eee, acha woga, kufa kambini ni ajali ya kawaida.
Siungi mkono wabakaji na wadharirishaji!