Ubaguzi ni kitu kibaya pale ambapo jamii moja uamini ni bora kuliko jamii nyingine kama ilivyo kwa mzungu kuamini anastahili kuongoza kila kitu duniani kwani ngozi nyeusi ina laana"wana amini hivyo"
Akili hizo zipo pia kwenye jinsia mwanamme anaamini yeye ni bora anayestahili kutawala kila kitu duniani huku wakimlazimisha mwanamke kubaki jikoni akipika, waafrika tungejifunza kitu hapa hii tabia ya jamii moja kuibagua jamii nyingine ni siasa inayotengenezwa kwa kipindi kirefu ili kuua vipaji na maono ya jamii nyingine.
Mwafrika anaweza kuongoza shirika lolote duniani na likafanikiwa!! Hivyo wazungu si kila kitu
Hivyo hivyo kwenye jinsia wanawake wanaweza kuongoza taasisi yoyote na ikafanikiwa hivyo mwanamme kuamini yeye ndo kila kitu haina mashiko
Akili hizo zipo pia kwenye jinsia mwanamme anaamini yeye ni bora anayestahili kutawala kila kitu duniani huku wakimlazimisha mwanamke kubaki jikoni akipika, waafrika tungejifunza kitu hapa hii tabia ya jamii moja kuibagua jamii nyingine ni siasa inayotengenezwa kwa kipindi kirefu ili kuua vipaji na maono ya jamii nyingine.
Mwafrika anaweza kuongoza shirika lolote duniani na likafanikiwa!! Hivyo wazungu si kila kitu
Hivyo hivyo kwenye jinsia wanawake wanaweza kuongoza taasisi yoyote na ikafanikiwa hivyo mwanamme kuamini yeye ndo kila kitu haina mashiko