Ubabe hadi Canada? This time you're done

Ni kwamba huko nyuma hawakuwahi kusema wana mapesa mengi tena cash, hawakujimwambafy kujionyesha tunapesa, huko nyuma tulikuwa tunalialia hivyo tulionewa huruma.
jomba deni ni deni haijalishi mdaiwa hana pesa..hahahaha..si wangeweka basi kwenye kumbukumbu za madeni..mbona deni la Taifa lipo tangu miaka ya sabini,70,80..kwani kipindi hicho tulikuwa na hela..miaka ya 80,90 tulikuwa hoi lakini deni lilikuwepo na tulikuwa tunaendelea kulilipa..acha bana siasa za majitaka mb na
Kuna watanzania ambao baada ya kushindwa kulipa deni la mikopo benki mali zao zilikamatwa na kupigwa mnada.
Tulipe deni.
mbona basi hawakuwahi kukamati mali tangu miaka hiyo..kama pesa tulikuwa hatuna..unakumbuka miaka ya 80 tulikuwa na ndege ngapi..na zilikuwa zinaenda mpaka UK, boeing..why hawakuwahi kufanya tabia hii..ni kwamba kulikuwa hakuna deni lolote..mahakama ilisha tatua mgogoro huo..saiz tunachoshuhudia ni matapeli tu na mabeberu
 
 
Hakuna umoja hapa, magufuli na ccm yake alipe hilo deni.
 
Uzalendo maana yake ni nini? Kupindisha sheria
Mkuu umeuliza swali zuri maana yake Ni kuwa wale wote tunaopinga jiwe kutofuata sheria sio wazalendo na tunatumiwa na mabeberu.
 
South walienda wakidai ooh! unajua sisi ndio tuliwasaidia kupata Uhuru na blabla kibao!
Nendeni Canada mkawambie huo upuuzi wenu.
 
Kwani huyo mkulima anadai bei gani, maana anaonekana ana figisu sana kama mke mdogo
 
Nani atapanda ndege za airline ambayo anajua kabisa inaweza kupigwa stop popote duniani na ikakuletea a lot of inconvenience?
 
Raisi anaendesha serikali kama nyumba familia yake,hakuna katiba,bunge etc inasikitisha sana
Tanzania, ni nyumba yetu, Magufuli ni like baba yetu. Katiba yetu imempa mamlaka yote to do as he pleases as long as anafanya kwa nia njema.
He is right.
P
 
A death wish!? Pls hebu ukuwe na utu mkuu hatujaelekezwa kuombeana kifo ktk mafundisho yote ya kibinadamu.
 
Amini usiamini awamu ya tano imejipambanua kwa umwambwa wa kugonga mwamba kwa kila kitu. Ni umbumbu na ushamba kwa kwenda mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…