Hili ndio tatizo kubwa, and alarming.Ila hilo jambo sio kwenyemikopo ata kwa account za serving wanajikatia hela za watu wanavyotaka
BOT msilale sana
Hili ndio tatizo kubwa, and alarming.Ila hilo jambo sio kwenyemikopo ata kwa account za serving wanajikatia hela za watu wanavyotaka
Kushindwa kufikia tageti kwa huduma kwa nchi zilizoendelea ni Lazima upelekwe kisheria na ulipe faini.Ni makosa tu ya kiutendaji wa mifumo ya computer!!!
Nami nashangaa. Huwa naona wana ile gari yao ya mobile banking labda ndio walioshughulikia huo mkopo, ila tawi kwa pale Newala la CRDB sidhani kama lipo.Usinambie hadi Newala kuna CRDB,! Basi sawa.
Anakatwa miezi miwili anaendelea kushangaa shangaa tu....!! Maajabu.HUYO RAFIKI YAKO NI MSHAMBA WA KUTUPA........ ILA CRDB WANAZINGUA DUNIA YA KATI
AJABU SANA MI HATA ZILE ROUND COINS ZIKIZINGUA NABEBA MABANGO..........Anakatwa miezi miwili anaendelea kushangaa shangaa tu....!! Maajabu.
Kushindwa kufikia tageti kwa huduma kwa nchi zilizoendelea ni Lazima upelekwe kisheria na ulipe faini.
Jana amefanya mawasiliano na makao makuu kupitia ile namba ya huduma kwa wateja ila chenga zinaendelea.... Nafikiri afungue kesi kuwanyoosha
Hahahaah huyo rafiki wa huyu mtoa mada inabidi ajifunze kutoka kwako.AJABU SANA MI HATA ZILE ROUND COINS ZIKIZINGUA NABEBA MABANGO..........
Hahahaah huyo rafiki wa huyu mtoa mada inabidi ajifunze kutoka kwako.
Ndo maana anasema mtoa mada mwnyw co mfikwa na tatizo, hayo matatizo ni ya kawaida kwakuwa lina soln, yeye huyo aende bank tena kwa credit officer atashighulikiwa sio kulalamika with no solnIla na wewe ni wa ajabu,unaona ni sawa mtu kukatwa mshahara wake bila kupewa mkopo?
Tusitetee ujinga lzm CRDB wakili kua huo ni uzembe wa hali juu.
hahahaah ndio wewe.
AHAHAHAHA AH BENKI WAKUKATE HUKU KAZINI WANIBEBEE 100 .50.200 LOLZ NAWAKOMALIA SALARY SLIP YANGU INALETAGA UTATA MARA KWA MARAhahahaah ndio wewe.
Utaonekana mburula kama kitu kinafanywa na system kwa matumizi yako mwenyewe ambayo sometimes hayako kimpangilio,Hili ndio tatizo kubwa, and alarming.
BOT msilale sana
Sio balaa mkuu..Akiuliza wanamuambiaje ?maana kukatwa mshahara miezi 2 na mkopo hujapewa hiyo ni balaaa.
Nami nashangaa. Huwa naona wana ile gari yao ya mobile banking labda ndio walioshughulikia huo mkopo, ila tawi kwa pale Newala la CRDB sidhani kama lipo.
kwahyo unasema jamaa kakurupuka.Jamani ebu tupunguze kua tuna lalamika aiseeee...Ila hilo jambo sio kwenyemikopo ata kwa account za serving wanajikatia hela za watu wanavyotaka
Rafiki yangu pia ilikuwa ivyo ni mtumishi wa Hospital ya bugando, ila walimwelewesha kwamba kabla ya kusitisha mkopo, jina lake lilikuwa tayari washalipeleka kwenye system yao ndo hayo ya kukatwa yakaanza. Ila Wameshamrudishia pesa zake zote, na maisha yanaendelea, na hakuna cha UBABAISHAJI wala UTAPELI.
Usinambie hadi Newala kuna CRDB,! Basi sawa.

Mahakamani unazunguka sana na ww, aliyekatwa aende branch atapata msaada, kuna maexpert kibao wa izo kitu huko branch.Jamani ebu tupunguze kua tuna lalamika aiseeee...
Hivi hata jambo la wazi namna hii na ikiwa unao ushahidi, unaogopa nili kiwapeleka mahakamani?
Huu ni wizi tena wa mchana peupeee na jua likiwaka
Na usawa huu wa Pombe, hatuibiwi kizembezembe namna hiyo.AHAHAHAHA AH BENKI WAKUKATE HUKU KAZINI WANIBEBEE 100 .50.200 LOLZ NAWAKOMALIA SALARY SLIP YANGU INALETAGA UTATA MARA KWA MARA
Nasikia eti bank ya huko China walichapwa viboko hadharani aiseeee...HUYO RAFIKI YAKO NI MSHAMBA WA KUTUPA........ ILA CRDB WANAZINGUA DUNIA YA KATI
