Ubabaishaji na Utapeli benki ya CRDB

Kuna rafiki yangu ambaye ni mtumishi miezi minne iliyopita aliomba mkopo wa milioni 10 CRDB tawi la Newala (Mtwara) na akajaza kila kitu. Siku zikasonga bila kuambulia chochote na baada ya mwezi 1 hivi walimwambia wamesitisha huduma za mikopo hivyo afuate viambatanisho vyake.
Siku aliyovifuata wakamwambia wameamua kushughulikia maombi ya nyuma (likiwemo ombi lake) hivyo avute subira atapata. Sasa chaajabu mwisho wa mwezi uliopita wamemkata mshahara lakini hajawekewa mzigo..... Mwezi huu pia wamelamba ila mpaka sasa hajawekewa. Wale wataalamu wa mambo ya sheria hili limekaaje?
Aweke viambatanisho aende mahakamani watamlipa mpaka disturbance penalty
 
Hawa n
Kuna rafiki yangu ambaye ni mtumishi miezi minne iliyopita aliomba mkopo wa milioni 10 CRDB tawi la Newala (Mtwara) na akajaza kila kitu. Siku zikasonga bila kuambulia chochote na baada ya mwezi 1 hivi walimwambia wamesitisha huduma za mikopo hivyo afuate viambatanisho vyake.
Siku aliyovifuata wakamwambia wameamua kushughulikia maombi ya nyuma (likiwemo ombi lake) hivyo avute subira atapata. Sasa chaajabu mwisho wa mwezi uliopita wamemkata mshahara lakini hajawekewa mzigo..... Mwezi huu pia wamelamba ila mpaka sasa hajawekewa. Wale wataalamu wa mambo ya sheria hili limekaaje?[/QUOTE
Hivi unawezaje kukatwa pesa afu mnakuja kulalamika kwenye mitandao, Jamani nafikiri kuna watu hawajui haki zao kabisa,
 
Sasa



Sasa watz kila kitu wanaanzisha mada, sana sana kuhusu au crdb au kimei. Na mleta mada sio aliyekatwa au kudhulumiwa na mpambe tu, mwenye ushaidi nimeambiwa, nimesikia kwa rafiki yangu. Nawashauri crdb au kimei, kwa malalamiki ya kijinga yaliyojaa jf, insta nk nk ayakompile nimsaidie kisheria at no pay. Mkilea huu ujinga eti mteja is right mpaka kuwaandika kwenye midia vibaya sio vitu vya kuendekeza. No research remain silent.
Kama mtumishi wa serikali baada ya kupeleka jina kwa mwajiri lazma akuweke kwenye kumbukumbu kama mdaiwa na benki flan, jina likimfikia tarehe25.03.2016 akaliweka ina maana mshahara ukiingia tarehe 27.03.2016 mwajiri atalazimika kuzuia makato tayari regardless ya benki yako kuwa imekamilisha kuweka hela au la. Labda ishu haiko ivi kwa kesi yako- je kama ni ivi then apo wizi unaosema ni upi?
Aya karibu mtukane ila tusiendekeze kulalamika kila kitu
Na kama haiko hivyo nani mwenye matatizo; mleta mada au wewe? Sidhani kama Kimei anaweza kukupa kazi hata kwa bila malipo!
 
Nadhan kuna project maalumu ya kuishambulia crdb...maana imeshakuwa gumzo humu jf....kila mtu analalama tu....lakin wakat huohuo haendi pahala husika kuwasilisha tatizo lake....sijui ni utoto au ndo ule woga wa watanzania kuhoji haki zao?! Nadhan hilo jambo lake....lina sbb zaid hiz unazotoa hapa....na pengine ungemwona meneja wa tawi au supervisor...wala mambo yasingefikia kwenye kulalama! Am just thinking anyway!!
 
CRDB kiukwel wanazonga sn mim nimuhanga mmojawapo nimeomba mkopo wa mil 14 mpaka sasa sijapewa huu nimwezi wa 2 unaenda wa 3... Ukiwauliza wanasema mda si mrefu wanaweka hela... Leo nime nimepiga sim CRDB tawi la Misungwi Mwanza nilipo ombea mkopo wangu.. Wameniambia wataanza kutoa mikopo mwezi wa 7 .. Nikawauliza tarehengapi mwezi 7 wakanijib hatawao hawajui.. Yani inaonyesha nijinsi gan hawapo serious na mambo yao aisee..
 
Jamaa amewasumbua makao makuu mpaka wameweka pesa. Nadhani uzi huu pia umechangia kuwaamsha
 
Sasa



Sasa watz kila kitu wanaanzisha mada, sana sana kuhusu au crdb au kimei. Na mleta mada sio aliyekatwa au kudhulumiwa na mpambe tu, mwenye ushaidi nimeambiwa, nimesikia kwa rafiki yangu. Nawashauri crdb au kimei, kwa malalamiki ya kijinga yaliyojaa jf, insta nk nk ayakompile nimsaidie kisheria at no pay. Mkilea huu ujinga eti mteja is right mpaka kuwaandika kwenye midia vibaya sio vitu vya kuendekeza. No research remain silent.
Kama mtumishi wa serikali baada ya kupeleka jina kwa mwajiri lazma akuweke kwenye kumbukumbu kama mdaiwa na benki flan, jina likimfikia tarehe25.03.2016 akaliweka ina maana mshahara ukiingia tarehe 27.03.2016 mwajiri atalazimika kuzuia makato tayari regardless ya benki yako kuwa imekamilisha kuweka hela au la. Labda ishu haiko ivi kwa kesi yako- je kama ni ivi then apo wizi unaosema ni upi?
Aya karibu mtukane ila tusiendekeze kulalamika kila kitu
Sasa utaanza aje kukatwa ikiwa hujapewa mkopo? Kama kuna wa kuwatetea kisheria ni hao walalahoi wanaoibiwa sio benki.
 
Rafiki yangu pia ilikuwa ivyo ni mtumishi wa Hospital ya bugando, ila walimwelewesha kwamba kabla ya kusitisha mkopo, jina lake lilikuwa tayari washalipeleka kwenye system yao ndo hayo ya kukatwa yakaanza. Ila Wameshamrudishia pesa zake zote, na maisha yanaendelea, na hakuna cha UBABAISHAJI wala UTAPELI.
Ubabaishaji na utapeli upo. Ukisha chukua pesa ya MTU kwa siku moja unatengeneza faida isiyo halali. Yaani unakopa bila riba. Sasa benki wanawateja wengi kwa hiyo wanawezapata pesa nyingi wanaitumia kufanya biashara kwenye soko la fedha wanapata faida halafu wanarudisha bila kumlipa riba mteja walio mkopa. Embu nenda benki kakope hata laki kwa siku moja uone km utapewa.
 
Kuna rafiki yangu ambaye ni mtumishi miezi minne iliyopita aliomba mkopo wa milioni 10 CRDB tawi la Newala (Mtwara) na akajaza kila kitu. Siku zikasonga bila kuambulia chochote na baada ya mwezi 1 hivi walimwambia wamesitisha huduma za mikopo hivyo afuate viambatanisho vyake.
Siku aliyovifuata wakamwambia wameamua kushughulikia maombi ya nyuma (likiwemo ombi lake) hivyo avute subira atapata. Sasa chaajabu mwisho wa mwezi uliopita wamemkata mshahara lakini hajawekewa mzigo..... Mwezi huu pia wamelamba ila mpaka sasa hajawekewa. Wale wataalamu wa mambo ya sheria hili limekaaje?
Awe mvumilivu tu!
 
Back
Top Bottom