Mkali popote
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 633
- 340
Wachina hawana soft ware ya sim zao ipad yangu ya tecno imeingia virus wameshindwa kuifungua.Hamna fundi anayemudu
Ipad ya tecno?????
Wachina hawana soft ware ya sim zao ipad yangu ya tecno imeingia virus wameshindwa kuifungua.Hamna fundi anayemudu
Nokia ni habari ingine.
Mimi ninayo N 73 tangu 2005, nabadilisha housing tu, nashindwa kuiacha maana inapiga mzigo bila hofu.
ktk ulimwengu wa sasa hivi ambao DUNIA NI KIJIJI,spea haitakiwi ichukue mwezi,Tatizo la Watanzania wachache msiojua umuhimu wa mda ktk biashara,soma nilichokiandika kabla hujadandia treni kwa mbele
:crying:
upo off point,unachokisema hakipo kwenye mada yangu,nimezungumzia customer care na ubora wa simu! wanipe mda wa uhakika kuliko njoo kesho izae njoo baada ya mwezi! am used dealing with professional,not amateur chineseInategemea spare ya aina gani na uko tayari kugharamia kiasi gani. Supplier hawezi kukuletea spare ya simu moja kisa simu yako ina warranty. Kama analeta mzigo kila wiki,mwezi, au zaidi itabidi tu usubiri mzigo unaokuja uje na spare yako vinginevyo watakuwa wanapata hasara kila mtu kitu kikiharibika wamletee peke yake.
upo off point,unachokisema hakipo kwenye mada yangu,nimezungumzia customer care na ubora wa simu! wanipe mda wa uhakika kuliko njoo kesho izae njoo baada ya mwezi! am used dealing with professional,not amateur chinese
my concern is their poor customer care and fake mobile phones,go through properly my observation.
Hiyo simu toleo la zamani sijui kama spare bado wanatengeneza? Naiamini phantom miniZ ilipigwa fimbo na ndugai bado ikaendelea kurecord matukio kama kawaida na ikaserve yenyewe.
Natumia TECNO zaidi ya mwaka sasa kiukweli apa nawasifia waCHINA maana simu ni ngumu haina scratchs na ipo vizuri ila Sumsung ambayo nilikua natumia ipo kwa fundi zaidi ya mwaka sijawahi ata ifata...Hivyo kutuaminisha kua simu za kiChina ni mbovu sio kweli sijui km ungenunua Apple ya mMarekani nayo ikikuaribikia ungetuambiaje? Nenda kwa Mafundi ucheki iPhone na Apple zilivyojaa.
Mimi pia sija save wimbo wowote kama ringtone nikipigiwa..nimeshanga leo nikiwa kwenye daladala nilipopigiwa ikaita kwa nguvu amarulaaaa amarulaaa amarulaaa kweli tecno majanga
kuna tecno feki pia... mi nnayo yangu hapa nlinunua freedom posta phantom p6 mini... yaani nimenunua mwezi wa sita mpaka sasa inapiga mzigo wa ukweli yaani haijawahi kukohoa hata siku moja.
Mimi pia sija save wimbo wowote kama ringtone nikipigiwa..nimeshanga leo nikiwa kwenye daladala nilipopigiwa ikaita kwa nguvu amarulaaaa amarulaaa amarulaaa kweli tecno majanga
Ha ha ha smart zina umuhim wake mdau,binafsi now natumia smart,ila ilipasuka screen baada ya kuangua,lakini baada ya kuharibika mambo yangu mengi yalikwama ambayo yanahusu matumizi ya intanet,ingawa C3 ilinisaidia kimawasiliano ila kwenye issue ya net nilipata shida,maana natumia smart as my modem kwa kutumia wi-fi .Isipokuwa smart inahitaji umakini,kiujumla inatakiwa uitunze sana sana sana,C3 imeshaanguka zaid ya mara mia,na mafundi wawili walinambia hii simu ni ngumu,ila smart mmmh ni fragilenami nnatumia nokia c3 tangu mwaka 2010 mwishon, Imenitoa sana. Ndo simu pekee hizi smart phone tupa kule