Ubabaishaji Kituo cha Ufundi cha Tecno

Ubabaishaji Kituo cha Ufundi cha Tecno

Mtu ananunua techno na power bank juu, hee ukinunua iPhone 6 si mutatembea na generator 😂😂😂👆
 
Natumia tecno kwa mwaka wa tatu tangu nmeinunua. Cyo zote mbovu jamani pia punguzeni ujuaji wa kujifanya mnajua cmu wakati amna uwezo huo.

Ni kweli simu zote ni vimeo, zipo kibiashara , huku ulaya ambazo simu ni highly quality still tunakutana na matatizo, kama simu yoyote utatumia miaka 2 nothing happens bahati yako
 
Ni kweli simu zote ni vimeo, zipo kibiashara , huku ulaya ambazo simu ni highly quality still tunakutana na matatizo, kama simu yoyote utatumia miaka 2 nothing happens bahati yako

Nokia x2 yangu hii ninayo toka 2012 na bado inapiga mzigo...na ndio ninayo tumia kujidai hapa JF.
 
Masimu ya cheap ndo tatizo alafu utakuta simu zingine kama BlackBerry, Samsung etc zinauzwa bei poa tu ila jitu linang'ang'ania simu la kichina..,
Wakati mwingine fikiri kiduchu itakusaidia, wengine wanatumia simu rahisi kwasababu ya mazingira ya kazi zao, wengine wanapoteza, kuibiwa, kudondosha, kuharibika so mtu anahofu ya kuingia hasara kwa kununua simu ya ghali ilhali rahisi ipo na inafaa, kuna kilichoundwa/kutengenezwa kisiharibime? Hizo simu nyingine unauhakika kuwa haziharibiki?
 
Nokia x2 yangu hii ninayo toka 2012 na bado inapiga mzigo...na ndio ninayo tumia kujidai hapa JF.

Nokia ndio kifume 1444469636996.jpg hii ni SONY Ericsson toka 2008 mpaka leo ipo Hi natumia, simu za kileo ni za kibiashara kama nilivyo kwambia, it's all about business, dead buying something else
 
Natumia tecno h6 ukipiga ama kupigiwa ni lazima niweke loudspeaker maana inawaka moto.
 
Hivi wewe unatimiza kila kitu nyumbani kwako at 100%?

Kama huwezi kutimiza majukumu yako ikupasavyo huna sabb ya kuendelea kuwepo

Huna Sabab Ya kuwa King'ang'nizi Kwa Usichokiweza.... Achia wanaoweza
 
Masimu ya cheap ndo tatizo alafu utakuta simu zingine kama BlackBerry, Samsung etc zinauzwa bei poa tu ila jitu linang'ang'ania simu la kichina..,

Khaa!! Siyo kweli. Mie nina phantom huu mwaka 2 sasa inadunda tu. Walevi wengi hawadumu na simu
 
inategemea toleo gani yangu ni P5 ishatimiza miaka 2 nimebadili protector tu kila kitu kiko poa
 
Wakati mwingine fikiri kiduchu itakusaidia, wengine wanatumia simu rahisi kwasababu ya mazingira ya kazi zao, wengine wanapoteza, kuibiwa, kudondosha, kuharibika so mtu anahofu ya kuingia hasara kwa kununua simu ya ghali ilhali rahisi ipo na inafaa, kuna kilichoundwa/kutengenezwa kisiharibime? Hizo simu nyingine unauhakika kuwa haziharibiki?

Tatizo ni kwamba zipo za bei rahisi ila si tecno
 
Natumia TECNO zaidi ya mwaka sasa kiukweli apa nawasifia waCHINA maana simu ni ngumu haina scratchs na ipo vizuri ila Sumsung ambayo nilikua natumia ipo kwa fundi zaidi ya mwaka sijawahi ata ifata...Hivyo kutuaminisha kua simu za kiChina ni mbovu sio kweli sijui km ungenunua Apple ya mMarekani nayo ikikuaribikia ungetuambiaje? Nenda kwa Mafundi ucheki iPhone na Apple zilivyojaa.
 
Mpaka sasa natumia h6 iko fasta hakuna kustaki staki naikubali sana
 
Baby hivi na wewe si unatumiaga Tecno vile?? Njoo ujaribu kutetea wembeee
 
Last edited by a moderator:
Wanakera sana kwa kweli hata mimi ninatumia h6 imeharibika wanasema nisubiri vifaa vitoke China mpaka ss zimepita zaidi ya wiki tatu hakuna lolote

Mi ninayo h6 karibu mwaka Sasa, haijapata tatizo lolote. Mi nadhani Kuna original na feki, chunguzeni maduka mnayonunua.
 
Natumia TECNO zaidi ya mwaka sasa kiukweli apa nawasifia waCHINA maana simu ni ngumu haina scratchs na ipo vizuri ila Sumsung ambayo nilikua natumia ipo kwa fundi zaidi ya mwaka sijawahi ata ifata...Hivyo kutuaminisha kua simu za kiChina ni mbovu sio kweli sijui km ungenunua Apple ya mMarekani nayo ikikuaribikia ungetuambiaje? Nenda kwa Mafundi ucheki iPhone na Apple zilivyojaa.

Mkuu hivi mafundi wa apple iPhone wapo bongo hii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom