Ubabaishaji Kituo cha Ufundi cha Tecno

Ubabaishaji Kituo cha Ufundi cha Tecno

Hivi TECNO inatengenezwa wapi?? Nadhani mngeanza kutembea China au kwenye Dunia ya kwanza na ya pili kuangalia kama hii bidhaa inayoitwa TECNO inapatikana madukani. Au tembelea Website yao www.tecno mobile games.com halafu itafakari utajua ni bidhaa ya watu wa daraja gani?
Lengo hasa walilenga soko Afrika..na kwa hapa Tanzania wamefanikiwa..lakini wanaoongoza ni Nigeria..tatizo ni kwamba kuna fake na original..Leo mwananchi wa kawaida akijipanga anamiliki simu ya kisasa..
 
Nilikuwa na Techno M3 ambayo nilikaa nayo ikifanya kazi vizuri kwa karibu miaka 3 siku ya siku ikafa bila taarifa (ilizimika yenyewe na haikuangushwa wala kutingishwa na haikuwaka tena) na hakuna fundi aliyeweza kuifufua.
 
Nilikuwa na Techno M3 ambayo nilikaa nayo ikifanya kazi vizuri kwa karibu miaka 3 siku ya siku ikafa bila taarifa (ilizimika yenyewe na haikuangushwa wala kutingishwa na haikuwaka tena) na hakuna fundi aliyeweza kuifufua.
Wana mafundi wa kichina wanaokuja kutengeneza simu zao za kichina,mtaani hawazijulii,tatizolililopo ni serikali kuwapa vibali
WACHINA waje wafanyekazi za WATANZANIA Huku,pia hawazifanyi vizuri huku akili yao ikiwa kwenye NYARA ZA SERIKALI YETU.
 
Kiukweli simshauri mtu yeyote kununua Tecno smartphone, ni janga. Jibane ununue Samsung ,Huawei ama Nokia.
 
Nilinunua simu ya Tecno H7, ipo ndani ya kipindi cha warranty, imeharibika, inazima bila mpangilio. Siku niliyoipeleka pale ofisini kwao Samora, NHC 2ND FLOOR, DAR walii-flash bila kujua tatizo ni lipi, simu ikaendelea kuwa na lile tatizo, wakasema niwaachie tatizo ni hardware sio software.

Baada ya kuwafuatilia walisema wameagiza spea toka China, nisubiri wiki mbili, wiki mbili zimefika wanadai bado, walichukua spea toka Kariakoo, haijafaa, hivyo nisubiri wiki mbili zaidi waagize toka China!

Nawasihi Watanzania wenzangu kujiepusha na Wachina na hizi simu za Tecno, customer care zao ni mbovu, pia uwezo wa ufundi wao na ufanisi wa simu zao ni wa mashaka.

Nawasilisha wakuu.
.

Hapana mkuu hii itakuwa imetokea kwako na aina ya tatizo. Kiukweli kuna jamaa yangu alifunga safari kwenda dar baada ya simu ya tecno j7 kuleta tatizo la kustag mara kwa mara alipewa masaa tu toka saa 5 hadi saa 10. Simu ikapona akarudi mkoani.
Usiwalaumu huenda ni kweli cm yako inahitaji kifaa ambacho hapa bongo hakipo na itachukua muda kulingana na ni vp kipatikane bila ya gharama kubwa. Kuwa mvumilivu
 
Nafikiri sio vizuri ku.generalize issues, simu matumizi na pia huduma za kutengeneza wanatoa fresh, ya kwangu ilizingua system na wamenitengezea pale carcare msimbazi inapiga kazi fresh
 
Kvp mkuu, hzi BlackBerry zanazotumia vifurushi vya kawaida ziko poa tu, mfano mm natumia q5 huu mwaka wa pili yaani kama mpya, haijawahai hata kuhema juu juu

Blackberry zote.unaweza kutumia vifurushi vya kawida ni setting tu kubadirisha ya network
 
Sasa hakuna tecno samsung.zote hewa ata wale wahindi wa samsung sijui ndio customer care.ni wababaishaji.ila siongei uongo samsung sijatumia not4 na s6.ila kuanzia s2_s5 majanga ila watu kwakua tunaigana matumizi.hizo simu ninanazo kwanza ata iwe inafanya kazi auwezi kuifurahia unakua na kapresha flani hivi.not3 ukikutana na waty 5.mmoja lazima awe na tatizo la kupoteza network. Na ndio maana waliziondo sokoni haraka sana yani.ni vimeo.yani kwa androids lg sijawahi kuonabmtu analialia ovyo. Sony wako poa kuna kitu kinaitwa lenovo wako poa.ila ukitaka usifikilie simu kamata blackberry z10_z30.kmata q5-hadi q30.wako poa sana iphone wako poa vilevile.ila hawa wajomba ni kwikwi tu.ila wametusaidia sisi malofa tunakutana humu jf.bila shida
 
yaan tecno inanitesa assee...
apps zina jiinstall zenyewe bila mpangilio nikifuta zinarudi reset nimefanya nimechoka sasa cjui nifanyeje tyu .
tecno siio kabsa
 
Nafikiri sio vizuri ku.generalize issues, simu matumizi na pia huduma za kutengeneza wanatoa fresh, ya kwangu ilizingua system na wamenitengezea pale carcare msimbazi inapiga kazi fresh
inaonyesha hujasoma vizuri nilichokiandika! nimeenda ofisini kwao mara nne! zote wanakuwa wamenihakikishia kuwa simu itakuwa ok,nafika naishia kupewa sound waliyonipa siku ya kwanza,wamesahau kama walitoa kisingizio hicho! sikai CITY CENTRE ukinipa appointment ya kuja mjini na mifoleni hii,lazima huduma iridhishe
 
Nafikiri sio vizuri ku.generalize issues, simu matumizi na pia huduma za kutengeneza wanatoa fresh, ya kwangu ilizingua system na wamenitengezea pale carcare msimbazi inapiga kazi fresh
inaonyesha hujasoma vizuri nilichokiandika! nimeenda ofisini kwao mara nne! zote wanakuwa wamenihakikishia kuwa simu itakuwa ok,nafika naishia kupewa sound waliyonipa siku ya kwanza,wamesahau kama walitoa kisingizio hicho! sikai CITY CENTRE ukinipa appointment ya kuja mjini na mifoleni hii,lazima huduma iridhishe
 
Hapana mkuu hii itakuwa imetokea kwako na aina ya tatizo. Kiukweli kuna jamaa yangu alifunga safari kwenda dar baada ya simu ya tecno j7 kuleta tatizo la kustag mara kwa mara alipewa masaa tu toka saa 5 hadi saa 10. Simu ikapona akarudi mkoani.
Usiwalaumu huenda ni kweli cm yako inahitaji kifaa ambacho hapa bongo hakipo na itachukua muda kulingana na ni vp kipatikane bila ya gharama kubwa. Kuwa mvumilivu
Ningepewa jibu la uhakika nisingekuja kumwaga lawama humu JAMNVINI,ukimpa mtu appointment unapaswa uiheshimu,kama huwezi,mualifu kabla hajafika,naacha kazi zangu,napambana na foleni ya mjini,naishia kuambiwa sababu walizotoa wiki mbili zilizopita! it is absurd,ONLY IN TZ,we are given such a raw deal
 
aiseee na mimi nina tecno p9 nilizinunua kwa ajili ya biashara/fashion..ila ndugu yangu nimetumia kwa miezi 6 tuu ni majanga zote zina matatizo zinazima na kuwaka zenyewe...nimewarudishia wakaziflash bt tatizo liko pale pale....sina hamu kabisaaaaa...ptyuuuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom