Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
OK we leo kunywa zanzi na viroba kesho me ntakuamsha asbh na mapema 😷😷😷😷
Mi sinywi viroba. Nakunywa wine na Zanzi
OK we leo kunywa zanzi na viroba kesho me ntakuamsha asbh na mapema 😷😷😷😷
Mi sinywi viroba. Nakunywa wine na Zanzi
Kweli we umezoea kujikana chaaa Yan mbka viroba unakana
mwenzangu na mm tehee,haijawah kuzima,nlwah kununua htc nkaigawa,lakin x2-01 siwez mpa mtu ntaitumia mpaka izime yenyewe
nilinunua simu ya tecno h7, ipo ndani ya kipindi cha warranty, imeharibika, inazima bila mpangilio. Siku niliyoipeleka pale ofisini kwao samora, nhc 2nd floor, dar walii-flash bila kujua tatizo ni lipi, simu ikaendelea kuwa na lile tatizo, wakasema niwaachie tatizo ni hardware sio software.
Baada ya kuwafuatilia walisema wameagiza spea toka china, nisubiri wiki mbili, wiki mbili zimefika wanadai bado, walichukua spea toka kariakoo, haijafaa, hivyo nisubiri wiki mbili zaidi waagize toka china!
Nawasihi watanzania wenzangu kujiepusha na wachina na hizi simu za tecno, customer care zao ni mbovu, pia uwezo wa ufundi wao na katika hali ya kushangaza jeshi la polisi limedhihirisha hali ya ukandamizaji kipindi edward lowassa, anatua airpot ya musoma mjini muda huu akitokea kwenye mkutano tarime.
Mgeombea huyu amepata mapokezi mazuri sana vijana wamedeki lami kama km6 na kumuimbia nyimbo huku wakimsindikiza katika hotel aliyofikia. Cha kushangaza mkuu wa polisi mihayo, ameamuru polisi kupiga mabomu ovyo ovyo wananchi waliokuwa wanamsindikiza raisi mtarajiwa.
Ombi: Jeshi la polisi lijipime kama linapaswa kufanya uonevu wa namna hii. Wa simu zao ni wa mashaka.
Nawasilisha wakuu..
Poleni sana,my NOKIA C3 IS STILL WORKING SINCE 2011 NA IMESHAANGUKA
SANA,NASHINDWA KUHESAB
U MARA NGAPI
Nokia x2 yangu hii ninayo toka 2012 na bado inapiga mzigo...na ndio ninayo tumia kujidai hapa JF.
Duh hapo sasa kasheshe.. ila poa tu hata hivo mwaka unatosha kabisa kwa kutumia simu mojaMwaka ukiisha lazima ikusumbue.
Duh hapo sasa kasheshe.. ila poa tu hata hivo mwaka unatosha kabisa kwa kutumia simu moja
Matumizi tu mkuu,mie nilinunua M7 mkononi kwa mtu,sasa ninayo mwaka,nimebadilisha battery tu
Kuna hizi Tecno boom J7 nazo ni nzuri?
Popoma naona siasa zimekushinda umehamia kwenye hii id yako ya chai.
Tupia basi walau chai kidogo maana nimemiss story zako sana.
Au unasemaje Super Gala D?
Bado nimebanwa sana na kampeni lakini soon nitarejea ulingoni........tengua kauli yako hizo huwa sio chai bwana
Hahahaaaa haya basi nakusubiri.
Utanipata kuanzia November.... Lakini bado haujafuta kauli yako
Poa poa.....
Acha hizo bwana popoma.
nami nnatumia nokia c3 tangu mwaka 2010 mwishon, Imenitoa sana. Ndo simu pekee hizi smart phone tupa kulePoleni sana,my NOKIA C3 IS STILL WORKING SINCE 2011 NA IMESHAANGUKA SANA,NASHINDWA KUHESABU MARA NGAPI